Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,096
- 62,045
Kwa gharama hiyo, database unamuachia mteja au unabaki nayo?TZS 150,000–250,000: Website ya kawaida static (HTML/CSS/JavaScript au WordPress bila customization kubwa).
Kwa gharama hiyo, database unamuachia mteja au unabaki nayo?TZS 150,000–250,000: Website ya kawaida static (HTML/CSS/JavaScript au WordPress bila customization kubwa).
Ukishakuwa unajua vizuri tayari ni mtaalamu wa web design huhitaji kulipia kazi kufanyiwa..Kwa anayejua vizuri, siku moja inatosha au masaa tu kwa kutumia AI
Kwa gharama hiyo, database unamuachia mteja au unabaki nayo?
Imekaa vizuri, nitakucheki siku zijazo, vipi animation unaweza?Nampa source code.
Nampa database na credentials zake.