Tembo aina hiyo hawapatikani kabisa Barani Afrika

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,203
4,677
Wadau hamjamboni nyote?

Najua baadhi yenu mtaleta hoja kinzani lakini ukweli Tembo aina hiyo pichani walio wapole na wanaoishi na binadamu huwezi wapata Africa

Karibu tujadili

1675716364971.jpg
 
Wapo morogoro wanaishi na watu vizuri sana...

Ila mademu wenye vishundu utawaona kweny video za tiktok. cha ajabu mtaani kwenu na mitaa unayopita hawapo. .
Walikuwepo, zamani mikumi hotel wakati inafanya kazi haijaungua, mpaka walikuwa na majina, na mkumbuka tembo Joseph.
 
Majani kama hayo yanapatikana vichaka vya UDSM karibu na ofisi ya mkuu wa chuo...
 
Back
Top Bottom