Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Wakuu sana JF, Heshima mbele!
Nimefungua tovuti ndogo tu kwa ajili ya kuendelea kupanua wigo wa upashanaji habari hapa nchini. Kama ilivyo ada katika zama hizi za utandawazi na tukiwa tunaelekea katika uhuru kamili wa upashanaji habari nimeona si vibaya sana nami nikawa mmoja kati ya wale ambao watatumika kama chombo cha kuwafikia wale ambao hawajafikiwa.
Ninahitaji maoni, ushauri na hata habari na naomba niandikie kupitia info@wotepamoja.com. Vileviele ningeomba ushauri katika kuandaa Logo yetu na kama kuna hata mmoja hapa JF mwenye uwezo wa kunisaidia ku sanifu hiyo nembo nitashukuru zaidi.
Tafadhali kwa maoni na mengineyo mbali ya anuani niliyowapeni unaweza kunipata pia katika kiganyi@gmail.com, nashukuruni sana.
Mungu Bariki JF, Bariki Tanganyika.
Kiganyi wa-JF
Wotepamoja online magazine - wotepamoja.
Nimefungua tovuti ndogo tu kwa ajili ya kuendelea kupanua wigo wa upashanaji habari hapa nchini. Kama ilivyo ada katika zama hizi za utandawazi na tukiwa tunaelekea katika uhuru kamili wa upashanaji habari nimeona si vibaya sana nami nikawa mmoja kati ya wale ambao watatumika kama chombo cha kuwafikia wale ambao hawajafikiwa.
Ninahitaji maoni, ushauri na hata habari na naomba niandikie kupitia info@wotepamoja.com. Vileviele ningeomba ushauri katika kuandaa Logo yetu na kama kuna hata mmoja hapa JF mwenye uwezo wa kunisaidia ku sanifu hiyo nembo nitashukuru zaidi.
Tafadhali kwa maoni na mengineyo mbali ya anuani niliyowapeni unaweza kunipata pia katika kiganyi@gmail.com, nashukuruni sana.
Mungu Bariki JF, Bariki Tanganyika.
Kiganyi wa-JF
Wotepamoja online magazine - wotepamoja.