Mimi mwenyewe huo sistahimili kabisa....au una allergy ya hewa chafu mkuu?Nimesema nilivyo mimi sio wewe, kuna kipindi nilikua mkoa X milimani kuna baridi Wazee wa kule wanavuta Tumbaku balaa aisee mimi na moshi wa Tumbaku ni km umenisogeza kwenye mlango wa Kifo ukiniweka dakika 10 nyingi kwenye ule moshi unaweza ukanikuta nimekufa