Kwani ukitengeneza gari la miguu mitatu nami nikatengeneza gari kama yako sema yangu ikawa ya mguu mmoja na inasimama kabisa watu watashindwa kuniona mimi ni bora zaid yako kwa kuwa wewe ulianza?.wameiba idea ya whatasap so hawawezi ipiku
Telegram unaunga channel zako za movies na tv seriez basi unatumiwa tu moja kwa moja...
View attachment 489472
Tutumie link hii [emoji116]Baraka Julius:
:
[emoji419]Please Read This Pinned Message [emoji116]
JOIN HERE [emoji116]
[emoji432]eBookz Group..
Join group chat on Telegram
Unaweza KuRequest Kitabu Chochote Unacho Kitaka, Pia kama unacho Kitabu Alicho Request Mwenzio Unaweza Kushare...
Members Wapya Unaweza ku search kwenye Group Section, Hapo unaweza kuona vitabu ambavyo Vimekuwa Shared Before ...
Don't request Same Book Again and Again..
Kuna Baadhi Ya vitabu Vipo Kwenye Format Ya Epub..
[emoji420] For Ios Users Unaweza download "iBooks" Kutoka Kwenye Appsstore Hiyo App Itakusaidia Ku Open Epub File Format..
[emoji420]For Android Users Unaweza Kudownload "Play Books" au "Moon + Reader" au "FBreader" au "Universal Book Reader" Kutoka Playstore..
Download App Moja kati ya Hizo Zitakusaidia KuOpen Epub File Format..
Kama ni PDF basi tumia WPS Office ni nzuri kwa pdf...
[emoji615]️WARNING :
[emoji724]NO SPAM, [emoji724]NO PORN, [emoji724]NO STICKERS..
[Topics only About Bookz]
[emoji120] Don't Disturb Group Members With Private Messages..
[Mtu Mwingine unaweza Msumbua Pvt then Ata Report Account Yako]
" Please Understand This Is Not A Dating Or Flirting Place"
THANKS
Charlie popote ulipo tafadhali rejoin kwa link mpya iliyowekwa.
decomm
nimepitia link za telegram lakini nikitata kujiunganisha hainipeleki kwenye option ya kuingia kwenye groups what is the problemchannel nzur sana
Kuna chanels na bots ambazo ukeza jiunga nazo utapata movies na series mpya punde tu zinapotokea.
U dont need to have someones number to add them to a group, all u need is username. Hapo usalama kuimarishwa kweli.
Hakuna limitations ya size ya file ambayo unatuma...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna chanels na bots ambazo ukeza jiunga nazo utapata movies na series mpya punde tu zinapotokea.
U dont need to have someones number to add them to a group, all u need is username. Hapo usalama kuimarishwa kweli.
Embu nambie nkifika kwenye last steps hazikubali ku nidirect kwenye group. Why
Hakuna limitations ya size ya file ambayo unatuma...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Muhenga, pole sanaUnajua mie nilifikiri unaongelea zile telegram zilizokuwa zinatumiwa na posta enzi zileee, kumbe mambo mengiiiine