KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Mzee hii dunia inabadilika sana
Mzee hii dunia inabadilika sana
MIMI NANAZICHUKIA GROUP ZA LEARN ENGLISH WAHINDI KIBAO MPAKA KERO
,mkuu mimi huu ni mwaka wa tatu notes zote zipo.....Live long Telegram.
Huu ni mwaka wa pili natumia telegram, sms na docx za soft copy zote tangu nianze kuitumia zipo.
Hata ofisi yangu wakiilipua nitaendelea kudunda tu.
Calls tayar mkuu, video ndo badoWhatsapp tunaitumia sababu ya mazoea tu ila Telegram is the Best na sasa wameanza call zote voice na video call wanafanya testing europe ikija mpaka huku kwetu itakuwa noma sana.
Nipee msaaada mkuu niistall katika pcNinachoipendea mimi ni uwezo wake wa kutuma mafaili na doc mbalimbali.
Pia ukiinstal kwenye pc inakubali bila shida tofaut na wosap.
Sema wosap imekuwa popular
Mkuu naomba link ya hiyo channelTelegram sio ya mchezo mchezo, katika pekua pekua zangu nimekutana na hii channel
Inashusha muvi kali tu kila baada ya sekunde kadhaa
Ahsante sana mkuuHii hapa ☢️ BluRay Movies
Telegram unaunga channel zako za movies na tv seriez basi unatumiwa tu moja kwa moja...
View attachment 489472