#COVID19 Teknolojia ya 5G na Chanzo cha Covid-19: Nadharia Njama (Conspiracy Theory) yenye maswali mengi

Mchezaji hii theory yako inaitwaje na iko kwenye field gani ya science? Nijulishe maana inavutia kusoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Mchezaji haya ni maono, ufunuo au ni science?

Sent using Jamii Forums mobile app
uliza wataalamu wa biology na tiba ama google how normal human cells become cancer cells.

Nakumbuka ilisemekana kwa TV uko tiba ya ukimwi iliwai tengenezwa, ikakabiliwa na mathara yakua ilikua inaamusha cancer cells, sababu dawa hio ilikua inaingizwa mwilini nakushutuliwa kwa stima ili iweze kufika ndani ya mifupa.
Watu walikua wanapona ukimwi na kisha kuanza kugonjeka mbaya na cancer. ikasimamishwa na wakashauri wagonjwa kurudi kwa ARVs.
 
Seen mr Mathew T Mndeme...

Your translation and articulation of 5G in Kiswahili was very good and perhaps your choice of '3G - Covid19 debunking stance' brought about an interesting entry for pondering and discussions -- in your perspective.

However, times like this we need to make the society think even beyond the MSM and possible 'Problem/Reactions solutions' that may seem to be rather odd -- as sorted out by the establishment -- in international and local scene.

You, in a person, admit that there is so much going on in the world--this could have served you with better premises to share and explore 5G and Viral subjects separately and avoid that nonsensical damage control narrative covering '2 in 1' prospects in odd combination -- probably trying to vindicate 5G and 'staged' viral epidemic in a clever way...

You are a good language translator and proficient writer of matters of choice; you can still do better without picking up contentious subjects and provocative issues for discussion and enlightening discourses.

Thank you, in way, for you have made ' silent observers' such like me -- to enter in this dialogue and offer my 2 cents...
 

Thank you brother mose for your contribution.

I wrote this topic knowing its contentious - and possibly contiguous- nature. These are those kinds of issues many of us would avoid discussing in public fora despite knowing many are misled for lack of relevant knowledge, exposure, critical thinking or relevant sources for consultation. Provocative as it is, I thought, it worth a public debate.

It is true that one could have chosen to write on Covid-19 on its own or G5 for the public good. But doing that at a time when the ongoing conversation assumes the two are interrelated with a causality relationship, I'm worried, would have been of no interest to many. Despite the contentions, I want to believe, some (is not many) have found it useful/ helpful seeing it discussed.

Mind you, it was very challenging to me discussing this conspiracy in public, particularly because it touches my own faith and it has carried many among my fellow believers.

MM Togolani
 

Consider all this could be just a set up -- media diversion...

Where are the real 'chips-take?


Now, lets see where all this is gonna take us into...

Hmmm
 

Ndugu Mchezaji mimi sikutaka kusikiliza wataalamu wengine au kugoogle au Tv "Sliema nini". Nilitaka wewe uelezee kwa ufasaha na mpangilio hicho unachokijua na kuona ni sahihi. Just make an assumption that I (and others) do not know the truth/reality/facts, but you know it all/well. Now, do us a favour by putting the facts down and support them with whatever you think is revelant from Google and/or "wataalamu".

Please educate us.

MM Togolani
 

Ndugu Quick win nakubaliana kabisa na angalizo lako. Ila nina maswali machache.

Moja, hivi hao wataalamu wa nadharia njama na "watumishi" waliofunuliwa kuhusu 5G kuwa chanzo cha Covid-19 wanawasaidia nini watu kwa hofu wanazowajengea? Wakishayasema hayo wanayosema, suluhisho ni kitu gani?

Pili, hivi ni sahihi kwa mtu kutumia uongo, uzushi na mambo ya kupika katika kujenga hoja za kuelezea anachokiita ni ukweli? Uongo na uzushi unawezaje kutumika kuelezea kinachoitwa ukweli uliojificha?

Tatu, hivi wakati hawa wengine wanatumia sayansi yenye adhma nzuri ya maendeleo kutulaghai au kueneza njama zao, "sisi wengine" tunafanyaje au tunatoa mbadala gani? Tunasubiri gunduzi zao halafu tuanze kulalamikia njama au nasi tunatoa mbadala?

Nne, ni wangapi kati ya "sisi tunaofanyiwa njama" hatutatumia teknolojia ya 5G itakapoenea (iwapo bado hatujaanza kutumia)?

Tano, aliyeaminisha watu kwamba hizo njama zinazosemwaa dhidi ya 5G haziwezi kutekeleza kwa 4G ni nani na kwa nini?

MM Togolani
 
Moja, kuwajengea watu hofu hakusaidii Bali kinachofanyika no kuwajulisha watu hivyo suluhisho no kuwa yajayo yamekaribia hivyo wanatakiwa kujiandaa au kukesha rohoni maana Yesu yu karibu kurudi kunyakua kabisa ikiwa unaamini hill, hz n moja ya dalili za kuja kwake. Lengo kuu la Dunia inapolekea sasa n New World. Order, utawala mmoja, Dini moja nk
Mbili, sio sahihi kutumia uongo au uzushi kuusaidia ukweli, lkn kumbuka biblia yasema iko njia ionekanayo machoni pa mtu kuwa ni njema lkin kumbe ni njia ya mauti. Ni kweli sayansi inasema ukweli ktk ugunduzi wake lakin Biblia ilikua na majibu hayo yaliyotabiriwa na manabii wa zaman sana kabla ya ugunduzi kuwa maarifa yataongezeka na nk, ktk maarifa hayo wasemapo in amani na salama ndipo uharibifu uwajiapo.
Tatu, sayansi INA adhma nzuri ya maendeleo na sio kila ugunduzi n mbaya hapana Bali kama ilivyo pesa in nzuri sana kwa matumizi mazuri lkn ina maangamizi makubwa kwa matumizi mabaya maana shina la mabaya yote no kupenda pesa kuliko Mumgu ndio chanzo cha maovu mengi. Kwa kuwa nyuma ya siri ya yajayo ni hakuna kuuza wala kununua bila ruksa ya Huyo mtawala ajaye then technolojia ya kasi yenye weledi mkubwa lazima iwezeshwe kufanikisha azma hiyo, hivyo sio ajabu jambo hili likihusihwa na 5G ikiwa mfumo utaliwezesha jambo hill maana lazima litafanyika.
Nne, Kwa kuwa tupo Duniani kwa wakati huu hakuna njia ambapo twaweza kukwepa kuutumia kabla madhara lengwa kufika, lkn Biblia inalo jibu ndio maana ya Unyakuo Rapture itokee maana siku hizo zisingalifupizwa hakuna ambaye angeweza kutoroka kutokuingizwa ktk mfumo,
Tano, je 4G kwa nn haikiweza kutumika, wewe mwenyewe unalo jibu kuwa ndio maana umekuja teknolojia ya hii mpya maana kwa yaliyokusudiwa huo uliopo hauwezi na ikiwa huu utaonekana unafel sio ajabu kuletwa mwingine zaidi lkn azma lazma itimizwe ufu 13 inavyoelekeza. We niambie kwa mawazo yako ili haya yafanye kazi ktka ufunuo 13 n mfumo gani utakaowalazimisha matajiri kwa maskini wrote kuingizwa na kumsujidia mnyama!? Unless wewe kama huamin hayo ktk ufu basi itakua una uelewa tofauti na kinacholekezwa hapo.
Kifupi, Biblia INA majibu yote kabla ya hata wanasayansi kugundua hayo. Ayubu aliweza kuelezea kuwa dunia no mduara na imetundikwa penye utupu lkn wanasayansi imewachukua muda gani kuufam ukweli huo! Asomaye na afahamu tumeonywa. Asante
 
Hiyo Dini moja katika NWO itaongozwa kutokea Vatican, Mecca, Moscow, New Delhi au Beijing?

Unamaanisha nini unaposema 4G haikweza kutumika?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
a
asante mkuu kwa elimu nzuri kabisa kuhusu five G. lakini nina maswali kwako unielimishe pia!
1. Kama nadharia hiyo imetolewa na wakristo kwa wakristo shida iko wapi? maana wakristo wana kitabu chao chenye kuonesha unabii wa kila jambo litakalotokea hapa duniani kabla ya kiama, mfano kuja kwa Anti christ, New world order, chapa ya mnyama 666 na kwa hakika unabii HUO unatimilika mmoja baada ya mmoja kwa wakati wake!!
2. Na je ni kweli wewe hujawahi kuisikia New World Order ikizungumzwa nje ya ukristo? Je unakubali itakuja? kama huikubali sawa, lakini kama unakubaliana na unabii huu wa kibiblia je unadhani utekelezaji wake utaanza lini na utakuaje?
ASANTE!
 
Makanisa ya manabii na mitume,viongozi wao wasome haya maelezo.
MAELEZO HAYA WATAYASOMA SAWA, LAKINI JE WAKIYALINGANISHA NA MAELEZO YA KIBIBLIA YATA MATCH?
NA JE YAKIKATAANA UNADHANI UTAWASHAURI WAZINGATIE MAELEZO HAYA WATELEKEZE YA BIBLIA!!
MAANA SIKU ZOTE MUNGU MKWELI BINADAMU MWONGO.
 
Ndugu Quick win namba nikujibu kwa pamoja na Amri kuu ni Upendo,

Naona tatizo moja kubwa kwenye maelezo yenu. Kama vile ambavyo kwenye tafiti tunaongozwa na philosophical assumptions/stance/position, naona maelezo yenu na fikra zenu munaongozwa na nadharia zenye lengo la kujenga hofu na kuunganisha kila consipiracies/uzushi na unabii wa Biblia. Sielewi ni kwa namna gani unakubali kwamba sio sahihi kutumia uongo, uzushi, na maelezo ya kuungaunga kuusaidia ukweli (neno la Mungu) lakini wakati huohuo unataka mambo hayohayo yaunganishwe na kinachosemwa na Biblia. Naelewa Biblia inasema nini kuhusu unabii wa siku za mwisho ila kitu ambacho sitaelewa hadi kesho, ni baadhi ya wakristo wenzangu kutaka kutumia kauli za kutunga na nadharia wanazozichomoa kutoka kwa wazushi wengine huku duniani, ili kujengea watu hofu kuhusu siku za mwisho au mbinu za shetani.

Huu mtizamo wa kwamba neno la Mungu linahitaji kutumia nadharia njama za kizushi zilioanzishwa na hata wasio na imani kwa Mungu mumeutoa kwenye mstari gani?

Labda nimiulizeni maswali machache ya ufahamu:
  1. Hivi mumewahi kupanda ndege mukasafiri angalau masaa 5 au kumi hewani bila kutua? Kama mumewahi, mukiwa kule juu huwa munajipa nafasi ya kufikiria ni kwa jinsi gani mwanadamu aliweza kuibuka na ugunduzi wa ajabu karibu zaidi ya miaka 100 sasa? Mumewahi kufikiria ni kwa jinsi gani tumeweza kurusha midege hewani na kuiratibu tutakavyo?

  2. Hivi kama 1969 (zaidi ya miaka 50 sasa) binadamu waliweza kusafiri zaidi ya kilometa 384,400 kwenda mwezini na wakiwa kule wanawasiliana na duniani (kukiwa bado hakuna hata 1G wala internet)? Kama hili liliwezekana ni nini kinachowaaminisha kwamba 5G ni tishio kiimani na ni mkakati wa siku za mwisho?

  3. Hivi munafahamu kwamba tumetuma chombo (New Horizons interplanetary space probe) angani ambacho kilikua kinasafiri kwa 58,500 km/h kwa miaka 9 mfulilozo (kutoka 2006 hadi 2015) kuifikia sayari ya mwisho kabisa katika mfumo wetu wa jua (our solar system) iliyoko umbali wa takribani 5.1 billion kms? Munafahamu kwamba kwa miaka yote hii chombo hiki kilikua kinaongozwa kutoka duniani kikipitia sayari za mbali moja baada ya nyingine huku kikituma picha duniani? Munafahamu kwamba chombo hiki kiliendelea kuwasialina na dunia hata baada ya kutona nje ya mfumo wetu wa jua?

  4. Hivi munafahamu kwamba kule kwenye sayari na Mars iliyoko takribani kilometa milioni 202.4 tumetuma vyombo vitatu sasa vinavyofanya kazi ya kuitafiti ile sayari huku vikiongozwa kutoka duniani na vikitutumia picha?

    Sasa nimiulizeni tena:
    Hivi cha kushangaa hapa ni kipi kati ya wanadamu kutengeneza na kurusha ndege hewani; kwenda mwezini na kurudi miaka 50 iliyopita; kuongoza chombo hewani kwa miaka 9 kikisaifiri umbaliwa zaidi ya 5B km; kufanya tarifi kwenye Mars kwa kutumia robots zinazoongozwa toka duniani; au ni teknolojia ya 5G ambayo haina cha ajabu zaidi ya kuongeza speed na volume ya mawasiliano ambayo tayari tunayo? Kipi kati ya hivi ni dalili ya siku za mwisho? Kipi kati ya hivi ni kazi ya mpinga kristo katika harakati za kuitawala dunia kwa NWO?

    Tatizo la jumla:
    Tatizo kubwa linalotukumba wakristo wengi ni kukubali ujinga kutumika kama silaha ya kiimani. Tunatumia ujinga wetu wa kutokujua mambo au kukosa uelewa mpana au kukosa exposure, kama silaya ya kila kitu chini ya mwemvuli wa imani. Tumeruhusu baadhi ya "watumishi" watudanganye na kutuchanganya wapendavyo. Chochote wakisemacho nyuma ya "neno la Mungu" au "mistari fulani ya Biblia" tunakimeza kama ndio kweli na kweli pekee bila kujipa muda wa kufikiria na kuchambua wenyewe.

    Baadhi ya watumishi hawa wanaendekeza ujinga kwenye jamii zetu. Badala ya kutusaidia na sisi tujikwamue kwenye ujinga tujikite kwenye speed ya maendeleo ya kisayansi na teknolojia, wanakazana kutuvika ujinga ili wazidi kuongoza fikra zetu watakavyo kwa kigezo cha imani. Wakati huohuo, wao wako kwenye mandege kila mara wanakwenda kwenye nchi zilizoendelea kiteknolojia kufaidi kazi za kisayansi zilizoboresha maisha ya wenzetu. Na wakirudi nyumbani hawaachi kutusimulia (kutoa ushuhuda) habari za ulaya, marekani, China,Japan, Australia na kwingineko wanakokwenda kutanua na kushuhudia maisha yalivyoboreshwa na teknolojia. Wengi wengine waoto wao hawawasomeshi kwenye mazingira yanayoamini 5G ni siku za mwisho bali wamewapeleka kwenye nchi zinazotumia teknolijia hizo ili nao waendane na waketi.

    Naomba nisiongelee hili zaidi ila nimishaurini kujiepusha na watu wanaotumia ujinga kama mtaji wa kuwa juu ya wengine na kufanikisha mipango yao. Hili ndilo lengo kuu la Conspiracy theorists na "baadhi ya watumishi" wanaoungana nao..

    MM Togolani
 
Nakubaliana nawe kwa jambo la wako watumish naweza sema ni wa shetan kabisa Ila wamejivika ngozi ya kondoo ambao Yesu alikwisha onya watatokea manabii wengi wa uongo , sio wachache Bali wengi. Mtawafahamu kwa matunda yao.
Ninachokikataa ni ule usemi wako wa kushabikia masuala ya kisayansi kama ndoo yana majibu yote hapo sio kweli, kabla ya ugunduzi wa hii sayansi ya ndege he umewahi kujiuliza ni sayansi gani ilitumika Nabii Eliya alipopanda gari la moto? He Henoko naye alivyotwaliwa je? He Joshua aliposimamisha jua kwa Siku moja nzima ili ashinde vita alitumia remote IPI? Je Paulo alipoenda mbingu ya tatu alitumia ndege IPI?,Yesu akapaa na mawingu je wanasayansi wanasemaje hapo? Je Filipo alipobebwa kwenda azoto ? Jaman Biblia INA siri nyingi zinazohitaj Roho wa Mungu kuzijua.. Akili au hekima ya kibinadamu haina majibu kwa mambo ya rohoni (1kor 2;6-hadi mwisho).
Manabii wa uongo wapi kuchuma kwa ajili ya tumbo lao ni dhahiri kwa kujikusanyia Mali, manabii wa kweli wapi kuufunua ukweli wa rohoni ila kuliandaa kabisa kwa unyakuo. Ndg yangu yaonekanaumebobea ktk teknolojia n vema sana, lkn ktk hiyo teknolojia ndio itakayotumika sana kuukamilisha unabii wa cku za mwisho na unahitaji kuujua ufunuo wa Mungu ili kujua mahusiano yaliyomo ktk ulimwengu wa rohoni na kinachoendelea. Otherwise uelewa ulionao utakufaidia kuupata ulimwengu lkn vya rohoni vitabaki kutambulikana rohoni. 'Asomaye na afahamu' tumeonywa. Wakati Dunia imepigishwa magoti inyenyekee kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia usilolijua. Ni kweli Dunia imekua kiganjani ili Antichrist afanye atakavyo ingawa hata hiyo Antichrist hatajikubali kama Antichrist Bali kisayansi ataitwa mkombozi wa Dunia iliyoshindwa kupata majibu, lkn wasemapo kuna amani na salama hapo ndipo uharibifu utakapotokea.. Ni kweli Mungu atawalipa mabaya manabii wanaolipotosha kabisa ila kwa kuwa watu hawaitaki kweli basi wataangukia uongo waukubali.
 
Hongereni wote mliochangia hoja kwa maana ya kujenga. Binafsi mmenisaidia sana. Hu Uzi nimeukopi na kuweka kwenye PC yangu niendelee kurejea. Ubarikiwe M. Togolani M.M Hakika umetusaidia sana tulio wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Someone just shared this somewhere, you can choose to believe or not, but for me this is an issue we have been discussing ! Nyuma ya pazia kinachoendelea, kwa waamin wanaelewa sana!

FOR THOSE ASKING ABOUT 5G.

5G is an improvement over 4G it is 10x faster than 4G. 5G is not the 666 but 5G is part of the medium for introducing the 666. How ? Now look at this.

With a 5G phone!you don't need to move around with your Phone, You just keep it at home. But a MicroChip will be implanted under your skin! With that Micro Chip. you can answer your phone with your body and you can call someone with your body without using phone. The device can read your mind,They know your next action before you do it.

With a 5G and the Implant MicroChip you don't need an International Passport at the air port and you can do any bank transaction any where in the world. And that means you can use it to buy and sale.

(Can you see that BUYING AND SELLING, Rev 13 ) Tomorrow a leader would rise up and say nobody should buy and sale until you have that MicroChip (666) clearly that's what the Bible warned us, 2000 years ago.

They know Christians will not buy the Idea of MicroChip Implant that's why people like Bill Gates a confirmed FREEMASON is saying everybody should take vaccination. They want to secretly introduce the Implant through the vaccination and we Christians say no to their vaccination, because whether the MicroChip is the 666 or not God has warn us in Rev:13 thousands of years before this evil people were born not to put any microchip Implant in our body.

They produce a disease and they are bringing a solution to the disease (Think about that) . We can't stop their plans, because God didn't say we (Christians) can stop them, but we have to warn people, not to fall to their traps.

They suppose to introduce CORONA VIRUS a man made disease since 2012 . 50% of this evil people and people that brought this CORONA VIRUS live in America , the coming of Donald Trump dealt with their plans greatly that's why they had to move to China an ungodly nation to launch it. But God is above them, they are trying to go faster than God. The foolish people thing they are intelligent but unknown to them they can not destroy Earth that they did not create.

The CORONA VIRUS, 5G and the MicroChip is just a rehearsal by this evil people , they can not force it on everybody until Christians are Raptured away for the wedding feast between JESUS CHRIST GLORIFIED and His bride (Church) .

CHRISTIANS do not get panicked and start losing hope on life that JESUS CHRIST is coming now and you say what is the hope in life.

Yes JESUS CHRIST is coming very soon but nobody knows when. Please go ahead with your normal activities.

Go to school, get married , aspire in life but be more wiser. Watch and pray with the consciousness that JESUS can come the next minute. Stop living carelessly anymore.

As we wait for his coming at anytime. Let's Preach the Gospel everywhere in the world and get as many people as possible to Jesus.

JUST DECIDED TO SHARE.
REMAIN RAPTURE CONSCIOUS.
 
Bandiko lako linatoa changamoto la "kifikra" na "imani" kwa Watumishi wa Mungu wanaodai kuponya magonjwa nje ya utaratibu wa kisayansi, na waumini wanao waamini.

Mlipuko wa COVID-19 unaweza kuwa mwisho wa "wahubiri makajanja" ambao wanatumia udhaifu wa waumini kuishi kwa imani zaidi kuliko uhalisia wa kisayansi.
 
wachina wame launch 5G so wanatoa sadaka,popote penye product ya mchina corona lazima iguse..... 😷😷😷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…