Mchezaji
Member
- Oct 5, 2018
- 42
- 38
Mchezaji hii theory yako inaitwaje na iko kwenye field gani ya science? Nijulishe maana inavutia kusoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
uliza wataalamu wa biology na tiba ama google how normal human cells become cancer cells.
Nakumbuka ilisemekana kwa TV uko tiba ya ukimwi iliwai tengenezwa, ikakabiliwa na mathara yakua ilikua inaamusha cancer cells, sababu dawa hio ilikua inaingizwa mwilini nakushutuliwa kwa stima ili iweze kufika ndani ya mifupa.
Watu walikua wanapona ukimwi na kisha kuanza kugonjeka mbaya na cancer. ikasimamishwa na wakashauri wagonjwa kurudi kwa ARVs.