Uliza Nkujibu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 806
- 641
jina la hii nokia na bei yake tafadhali.Nilianza na
Nokia
Blackbery
Sumsang
Tecno
Ila nimeirudia sumsang
Yangu iphone hadi wafike s 10! Wakifika hapo na mim nanunua iphone s5![]()
jina la hii nokia na bei yake tafadhali.Nilianza na
Nokia
Blackbery
Sumsang
Tecno
Ila nimeirudia sumsang
Yangu iphone hadi wafike s 10! Wakifika hapo na mim nanunua iphone s5![]()
baada ya kupita? unatamani kurudiHuku uliko pita nimepita
Ntarudije nyuma kama wametoa phantombaada ya kupita? unatamani kurudi
hata kama wewe ulitegemea lini nokia atafuliaHiyo miaka mitano hao wngine watakuwa wamemsubiri?
great waache hao wanaoishi kwa kukaririNtarudije nyuma kama wametoa phantom
Mi ni fan mkubwa wa gaming, natumia mda mwingi kucheza game nikiwa napumzika au nimemaliza kazi zangu, so game zinazohitaji GPU kubwa ukizicheza kwenye simu kama za tecno hutaona raha na kama ulishazoea kucheza kwenye simu zenye GPU kubwa utakuwa disappointed kabisaTofauti na matumizi hayo mkuu matumizi gani mengine unatumia? au ku download movie
Makosa mengi yanahitaj kujisahihisha kila muda mfupiNisaidien uelewa kidogo ktk hili juu y kampuni y tecno kwann hawatoi muda kdogo wa mtu kujidai na cm yke toleo jpya japo kw 6 months hatimaye kila baada mwezi wanabrand new product
mkuu unajua kuwa tecno hatengenezi simu right? just wanabandika tu jina. kama una dola 10,000 tafuta jina chagua na simu ya tecno unayoipenda tunaenda china tunazipata exactly kama hio tecno uliochagua. so hata wakae miaka 100 kama hawana research department, hawadesign simu, etc ujue watabaki tu kuwa kampuni ya kijanja janja.hata kama wewe ulitegemea lini nokia atafulia
au black berry
techno kaanza mwaka gani katika smartphone na leo sumsung lg htc wanatishika ujio wake kwanza anawapiga gap bado iphone tu sumsung anatoa simu mwezi mmoja anairudisha tena kuitengeneza sio kuchoka huko
Tafuta game kama GTA Vice City au Grand Theft Auto San Andreas au Modern Combat 5 install kisha mtafute mtu mwingine mwenye Samsung Galaxy S7 afanye installation ya the same game kisha mcheze halafu ndo utaona na kujua experience ya utofautiInawezekana ni kweli unachosema embu niambie hiyo app ambayo sitaweza kwenye haka katecno nirudi awali
HILI NDO NALIJUA kwako mkuu na hii ndio sababu wanatoa new brand bila interval ya kueleweka?mkuu unajua kuwa tecno hatengenezi simu right? just wanabandika tu jina. kama una dola 10,000 tafuta jina chagua na simu ya tecno unayoipenda tunaenda china tunazipata exactly kama hio tecno uliochagua. so hata wakae miaka 100 kama hawana research department, hawadesign simu, etc ujue watabaki tu kuwa kampuni ya kijanja janja.
Sawa mzee wa kitengo!Hata waje vp, hiyo brand situmii. Mimi na samsung. Nikitoka hapa naenda level nyingine.
ndio mkuuHILI NDO NALIJUA kwako mkuu na hii ndio sababu wanatoa new brand bila interval ya kueleweka?
Mkuu napataje hizi gta za simu niweke kwenye galaxy s6!? Vp ukubwa wake bundle niandae gb ngapi mkuu !?Tafuta game kama GTA Vice City au Grand Theft Auto San Andreas au Modern Combat 5 install kisha mtafute mtu mwingine mwenye Samsung Galaxy S7 afanye installation ya the same game kisha mcheze halafu ndo utaona na kujua experience ya utofauti
Infinix zero ni mwishoo aiseeinfinix mwisho wa matatizo