Sangoma
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 344
- 165
Hauna tofauti na alie leta ndege za vita ya kwanza ya dunia mnapenda sana kusifiwa fanyeni kimya kimya kama hampendi kukosolewaAcheni wivu kizuri kisifiwe
Hauna tofauti na alie leta ndege za vita ya kwanza ya dunia mnapenda sana kusifiwa fanyeni kimya kimya kama hampendi kukosolewaAcheni wivu kizuri kisifiwe
yap replacement zinakuepo, jitahidi tu ukinunua iwe ni version ya kimataifa na sio za usa, korea, china etc ili upate warranty.Ni vipi once battery inazingua,,,,kuna replacement? ?
yap replacement zinakuepo, jitahidi tu ukinunua iwe ni version ya kimataifa na sio za usa, korea, china etc ili upate warranty.
siku zote inakuwa hivyo, wanatoa simu tofauti tofauti sababu frequency hazifanani baina ya nchi na nchihuwa wana toa version za mataifa tofauti tofauti..?
sio second ila ni secondary cameraDuh! 21 pixels kwa second camera?
Hata waje vp, hiyo brand situmii. Mimi na samsung. Nikitoka hapa naenda level nyingine.
Yaani mtanzania unadharau wakati hata kutengeneza sindano huwezi! Wacha sisi tutumie tecno ila jamiiforum twaingia wooooteTatizo mnaleta dharau kwa kufananisha na simu ambazo sio kiwango cha tecno, unawezaje kuifananisha tecno na iPhone au Samsung!? Tecno ana watu wake wa kufananishwa, kumbuka ukianza dharau lazima na wewe udharauliwe
nunua note 4Samsung S6 au Samsung note 4??ushauri plzz,which to buy
Yah wote mnaingia.Yaani mtanzania unadharau wakati hata kutengeneza sindano huwezi! Wacha sisi tutumie tecno ila jamiiforum twaingia woooote
Yah wote mnaingia.
Hata mwenye tecno m3 anaingia.ila akisema iko sawa na yako hiyo c9 sidhani kama utamuelewa.
tena kitu kina android six marshmallow. Tusidanganyike na brand names specifications za device kama zinameet your requirements ndiyo mpango Nina's.Bland ina mata sana hapa.kabla hatujaanza na specifications maana ni wachache sana wanaojali hivyo vitu.sasa angalia kama hiyo simu eti ina marshmallow!!!!huu ni zaidi ya uhuni.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
tena kitu kina android six marshmallow. Tusidanganyike na brand names specifications za device kama zinameet your requirements ndiyo mpango Nina's.
aaaaah wapi!!!!!!Noma hiiLeo tecno wamezindua simu ya tecno phantom 6 na tecno phantom 6 plus ya mp 21camera ya mbele