ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,476
- 9,654
Tecno nilikuwa nawadharau. Baada ya kununua C9 wamenibatiza kwa moto. Hizi simu nyingine wanatubamiza bei kisa Brand names mxiuuuuuuuu.

Tecno nilikuwa nawadharau. Baada ya kununua C9 wamenibatiza kwa moto. Hizi simu nyingine wanatubamiza bei kisa Brand names mxiuuuuuuuu.

haina ila ndio kila idara inazidiwa na s6Thanks mkwawa,,,mpaka hapo naona s6 ina complications. Na Vip note 4 ina mapungufu yoyote?
Mimi walinitoa baada ya simu nakuwa nachaji kila siku lakini nilivyohamia kwenye techno nakaa mpaka siku tatu ndio nachajiHata wafanyaje hawajanitoa bado kweny ulimwengu wa Apple
Ni back camera ndio iko na 21. Hiyo secondary ni 8mpDuh! 21 pixels kwa second camera?
MKUUU UMETUDHARAU SANA WA TECHNO ngoja nikatulie maana wewe maneno mingi sana endelea kukomaa na bomu lako sumsung s7Naona unaongea vitu usivyo vielewa...yani htc,lg,Samsung wanatishika na tecno?
Hivi simu kama G2 ya 2013 utafananisha na tecno ipi labda..kuanzia camera,soc,battery life,gpu
Kukimbizwa na mnyama wa 2013 bado uje kufafananisha tecno na Lg,Samsung, htc
Ndio mana hadi leo system update mnaiskia kweny bomba tu![]()
Humu kila siku ndio mnaaongoza kuomba misaada ya tecno..naomba uanze kuesabu threads za matatizo ya tecno.
Hata ukitengeneza scale of preference nafikir kwa matatizo lukuki ya tecno yanayo kua posted jf basi tecno nafkir utaiweka mwishon huko.
Ila kama unaishia kuchat,na kuskiliza mzik wa boom j8 sawa tu we endelea tu na tecno yako simu ambayo hata makao makuu yake hayajulkan.
techno baba lao kwa chagi acha waimbe hawa kwa simu za kichina techno juuu huawei anatuangalia kwa tochiMimi walinitoa baada ya simu nakuwa nachaji kila siku lakini nilivyohamia kwenye techno nakaa mpaka siku tatu ndio nachaji
Acheni wivu kizuri kisifiwe
Madhara yake ni nini apo Chief?!s6 ni nzuri tena sana kulinganisha na hao wawili, inatumia storage za ufs ambazo zinafanya simu iwe na speed. sema ndio battery haitoki na haina memory card.
-kubadili battery ni ngumuMadhara yake ni nini apo Chief?!
Nakuunga mkono pamoja na mguu..... Mimi ni diehard Samfan... Nikiswitch ni kulee Yepple eye-phone bhaaasi. Hiyo mi Tecno mara boom6 C8 mara boom Y3. Sitaki hata kuyajua.Hata waje vp, hiyo brand situmii. Mimi na samsung. Nikitoka hapa naenda level nyingine.
Mkuu hiyo hata GSM arena ipo kweli?infinix mwisho wa matatizo
?Mbona tecno l8 battery yake ni 5050 mAhHiyo battery ya 4050mAh si ni bomu kabisa..... Au ndio Tecno bomb?
Mkuu hiyo hata GSM arena ipo kweli?