Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Tecno watoa simu ya camera ya mbele yenye mp 21

Naona unaongea vitu usivyo vielewa...yani htc,lg,Samsung wanatishika na tecno?

Hivi simu kama G2 ya 2013 utafananisha na tecno ipi labda..kuanzia camera,soc,battery life,gpu

Kukimbizwa na mnyama wa 2013 bado uje kufafananisha tecno na Lg,Samsung, htc

Ndio mana hadi leo system update mnaiskia kweny bomba tu

Humu kila siku ndio mnaaongoza kuomba misaada ya tecno..naomba uanze kuesabu threads za matatizo ya tecno.

Hata ukitengeneza scale of preference nafikir kwa matatizo lukuki ya tecno yanayo kua posted jf basi tecno nafkir utaiweka mwishon huko.

Ila kama unaishia kuchat,na kuskiliza mzik wa boom j8 sawa tu we endelea tu na tecno yako simu ambayo hata makao makuu yake hayajulkan.
MKUUU UMETUDHARAU SANA WA TECHNO ngoja nikatulie maana wewe maneno mingi sana endelea kukomaa na bomu lako sumsung s7
techno raha mstarehe
simu gani battery span kubwa kuishinda techno ndio maana mnaongoza kutembea na power bank
 
Mimi walinitoa baada ya simu nakuwa nachaji kila siku lakini nilivyohamia kwenye techno nakaa mpaka siku tatu ndio nachaji
techno baba lao kwa chagi acha waimbe hawa kwa simu za kichina techno juuu huawei anatuangalia kwa tochi
 
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Wa Tecno ale tecno, wa Samsung ale samsung, wa Iphone hivyohivyo...
 
Madhara yake ni nini apo Chief?!
-kubadili battery ni ngumu
-kufanya backup hadi utafute external HDD au flash
-repair ya vitu vyengine pia inakuwa ngumu (Mara nyingi)
-ukijaza internal storage ndio basi huwezi ongeza SD card mpaka uhifadhi online
 
Ubora wa camera sio pixels. Kumbuka nokia n800 ilikua na 41mp.
Guess kipindi icho bado hujaja mjini
 
Mi na tecno damudamu wengine wananunua majina unauziwa bei kubwa kisa jina samsung
 
Hata waje vp, hiyo brand situmii. Mimi na samsung. Nikitoka hapa naenda level nyingine.
Nakuunga mkono pamoja na mguu..... Mimi ni diehard Samfan... Nikiswitch ni kulee Yepple eye-phone bhaaasi. Hiyo mi Tecno mara boom6 C8 mara boom Y3. Sitaki hata kuyajua.
 
Hiyo battery ya 4050mAh si ni bomu kabisa..... Au ndio Tecno bomb ?
 
Back
Top Bottom