Tecno Phantom ushauri tafadhali

Utakuwa una matatizo ya macho ,wakati wa mchana nenda Setting -display -brightness then uongeze mpaka mwisho utafurahia sana simu yako

sasa hv duniani kuna simu moja tu ambayo unaweza soma mchana vizuri nayo ni lumia 1520 na sababu ni technolojia mpya inayoitwa assertive display.

si samsung si tecno si kampuni yoyote ya simu inaweza

 

hapa hujataja sifa ya tecno hata moja umetaja za android tupu
 
wadau naomba mniambie namna ya kuenable 3g kwenye samsung GT I8190 !
 

tumekariri kuwa expensive is better..wengi wenu hapa matumizi ya cm ni Facebook,whatsapp, jf,call na kupiga picha....! huo uduni wa techno uko wapi?
 
tumekariri kuwa expensive is better..wengi wenu hapa matumizi ya cm ni Facebook,whatsapp, jf,call na kupiga picha....! huo uduni wa techno uko wapi?

kaka simu bora ni ile ambayo bei na unachopata vinalingana.

sasa unauziwa simu laki 4 na nusu (tecno) wakati kuna simu bora zaidi yake zinauzwa bei rahisi zaidi kama s4 clone (laki 3), xperia m(3 na nusu had 4) je hapo aliokariri kuwa ghali ni bora ni mtu wa tecno au sisi wapimgaji?
 
wadau naomba mniambie namna ya kuenable 3g kwenye samsung GT I8190 !

nenda menu then setting kwenye wireless and network click more halafu nenda mobile network then network mode halafu chagua umnts/wcdma itakaa 3g, ukiona hamna hio option jua hio ya kichina maana s3 mini za kichina zipo nyingi
 
sasa hv duniani kuna simu moja tu ambayo unaweza soma mchana vizuri nayo ni lumia 1520 na sababu ni technolojia mpya inayoitwa assertive display.

si samsung si tecno si kampuni yoyote ya simu inaweza


Atleast phantom yangu inasoma vizuri tu kwenye mwanga mkali. Au labdamacho yangu yana nguvu zaidi!!?
 
Techno iko poa. S4 INA mini cha ziada kwa mtumiaji wa kwwaida?
 
Atleast phantom yangu inasoma vizuri tu kwenye mwanga mkali. Au labdamacho yangu yana nguvu zaidi!!?

prove kaka tafuta simu nyengine kaa jua la mchana nje tupigie picha hiko kioo chako
 
tumekariri kuwa expensive is better..wengi wenu hapa matumizi ya cm ni Facebook,whatsapp, jf,call na kupiga picha....! huo uduni wa techno uko wapi?
Mkuu sipo hapa kuiponda Tecno........hata mimi ninayo.
Unakubaliana na mkuu NYARUGANDO hapo chini?
Kabisa haina tofauti na Galax 4 Mimi naitumia na ndg yangu anayo s4. Tumezicompea kwa kila kitu na ziko droo mkuu!
As far as I know hili ni jukwaa la tech inabidi tujadili mambo kwa uhalisia wake na sio siasa, kukubaliana na mkuu Nyarugando hapo juu kwangu mimi hakuna maana yoyote. Simu hazilinganishwi kwa staili hii mkuu,,,,,,,its all about specifications
Hii itakuwa sawa na kusema Gongo na Johny Walker zipo sawa kwakuwa wote mnalewa
Tecno ni bidhaa duni kwasababu haina utambulisho kimataifa, ni kama kampuni ya mfukoni tu
Haina "TBS" za kimataifa haijasajiliwa kuwa standards na kupata IMEI za kimataifa kwasababu hawajakidhi vigezo na tecknolojia yao asilimia 100 wanacopy lakini wanatengeneza kwa kutumia cheap material
Nenda website zote kubwa kuanzia GSMARENA na zote unazozijua wewe katafute kama utaipata Tecno
Tecno utaikuta kwenye Blog na web site uchwara za Kinaijeria, Ghana, India Kenya na nchi za kichovu kama zetu

Narudia tena kwa hali zetu za kiuchumi Chinese phone ndio mkombozi wetu lakini tusijidanganye eti zipo sawa na..........
Kama unataka chinese phone ya ukweli kwa maana ya specification basi chukua Sumsang S4 clone
 

Mkuu asante sana kwa elimu. Mimi ni mtumiaji wa hii simu. Umetaja baadhi ya features kuwa zinakuja na hii simu lkn mimi sizioni. Nitaku-pm ili unielekeze. Natanguliza shukrani.
 
Mkuu asante sana kwa elimu. Mimi ni mtumiaji wa hii simu. Umetaja baadhi ya features kuwa zinakuja na hii simu lkn mimi sizioni. Nitaku-pm ili unielekeze. Natanguliza shukrani.

Kuna vitu naviona kwenye simu lakini hapa havijaolozeshwa,Mimi nimecompare na galaxy s3 nikagundua Samsung na nokia no vibaka wakubwa.washamba wa majina ya cm wacha waendeleee kupigwa visenti vyao.F7 A+ tuna enjoy kila kitu hapa
 
sasa hv duniani kuna simu moja tu ambayo unaweza soma mchana vizuri nayo ni lumia 1520 na sababu ni technolojia mpya inayoitwa assertive display.

si samsung si tecno si kampuni yoyote ya simu inaweza


Chief ubishi huo mimi nasoma
Msg viziri kwenye mwanga wa jua Kali sana la saa 7 mchana.nimetumia galaxy s2 sijaweza enjoy kama navyo enjoy kwenye hii phantom.mwisho tunasems msifia mvua imemunyea kaka.Samsung yenye screen kubwa au xperia yenye kubwa kama phantom A huwezi pata kwa laki 3.5 mkwawa acha uongo.hiyo pocket yenyewe ni laki 2.5 alafu ni ya kawaida inazidiwa hata na techno M7 inauzwa laki 2.5 kwa kila kitu.ni wizi tu was samsang.poleni
 
Chief ubishi huo mimi nasoma
Msg viziri kwenye mwanga wa jua Kali sana la saa 7 mchana
kaka technology sio mapenzi kuwa unajisifia tuuu halafu hamna kitu. tunaomba hizo picha basiiiii. simu si mnazo easy toka nje hilo jua la saa saba piga picha

nimetumia galaxy s2 sijaweza enjoy kama navyo enjoy kwenye hii phantom.mwisho tunasems msifia mvua imemunyea kaka.
hivi unajua bei ya s2 sasa hivi ni ni rahisi kuliko phantom?

Samsung yenye screen kubwa au xperia yenye kubwa kama phantom A huwezi pata kwa laki 3.5 mkwawa acha uongo.
umeambiwa galaxy s4 clone the way unavyojibu hata huelewi unajibu nini hebu baada ya kukujibu hapa ntakuandikia post nyengine ya specification za galaxy s4 clone uone tecno phantom yako itavyochakazwa. kuhusu xperia ipo xperia m na nimeandika thread nzima kuisifia sasa unaposema nadanganya sijui umefanya research gani kuthibitisha.

hiyo pocket yenyewe ni laki 2.5 alafu ni ya kawaida inazidiwa hata na techno M7 inauzwa laki 2.5 kwa kila kitu.ni wizi tu was samsang.poleni
kuna mtu alienda dukani kununua s2 mwenye duka akamwambia nunua p3 hii ni bora zaidi akamuuzia kwa laki 4 p3. siku zote duniani wajinga hawaishi. kama maduka ya samsung yanauza pocket chini ya laki 2 (mwaka jana ilikua 180, wewe ukinunua 250 hapo umejitakia
 
hebu bwana mangungo nikufanyie brief specs za hizi simu s4 clone na tecno phantom+

1. kioo
zote zina vioo inch5 vyenye resolution ya 1280x720. hapa zimetoka draw

2. battery
phantom battery ni 2100mah na s4 clone ni 2600mah. hapa s4 clone yupo juu

3. internal memory
s4 clone ina 16gb na phantom ina 4gb (2gb unapata). hapa tena s4 ipo juu

4. ram
s4clone ina ram 2gb phantom ina ram 1gb. hapa s4 clone ipo juu.

5. processor
s4 clone ni meadiatek quadcore wakati phantom ni mediatek dualcore hapa tena ni ushindi kwa s4 clone

6. camera
s4 clone camera 12/13mp na ya mbele 2mp wakati tecno ni 8mp na ya mbele ni 1.2mp hapa ni ushindi kwa s4 tena.

7. 3g network
phantom inakamata kwenye 2100mhz tu wakati s4 clone ni 850 na 2100mhz. ushindi kwa s4 clone tena

8. bei za simu
tecno inapatikana kwa laki 4 na nusu wakati s4 clone ni laki 3. hapa s4 clone yupo juu tena.

9. status mtaani
ukiwa na s4 clone unaonekana kama una hela watu wanadhani unamiliki s4 wakati ukiwa na tecno hadi wazee kwenye vibanda vya kahawa wanajua unamiliki simu ya kichina (japo zote mbili ni mchina)

bwana mangungo una la kusema?
 
Chief Mkwawa...inawezekana hiyo S4 unayoisifia ikawa na ubora kuliko Phantom je ikiharibika ina technical supporter kama ilivyo phantom? kuhusu Experia M wapi inauzwa bei ya laki 4 maana nimeona maduka mengi wanauza sio chini ya laki 5.....
 
Chief Mkwawa...inawezekana hiyo S4 unayoisifia ikawa na ubora kuliko Phantom je ikiharibika ina technical supporter kama ilivyo phantom? kuhusu Experia M wapi inauzwa bei ya laki 4 maana nimeona maduka mengi wanauza sio chini ya laki 5.....
kuhusu technical supporter kuna vitu naeza jibu na vyengine siwezi.

zote ni simu za mediatek ina maana ishu za network, radio na vitu vidogo vidogo vinafanana fundi anayeweza tengeneza tecno au kifaa cha tecno kitaingiliana na hii clone.

ambacho siwezi kukujibu ni display ya mbele maana sijajua wanatumia kioo gani ila kuna uwezekano mkubwa vinafanana.

ongea na huyu jamaa babalao 2 kama ataweza kukusaidia kuhusu xperia m
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…