Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

Danpol kila siku unaanzisha mada mpya ya tecno,unauliza maswali unajibiwa,kesho unauliza yale yale kwenye mada mpya. Au unatoa sifa zile zile,mada mpya kila siku. Hata kama ni mapenzi hii ni too much.asubuhi unaleta mada ya tecno,jioni unafunga na mada ya tecno.

Tokea nijiunge humu sijawah kupost kuhusu cm, hii n mara ya kwanza kupost kuhusu cm
 
Last edited by a moderator:
Tecno tatizo ni kuload slow ukiwa mbali na town specially kwa huku Arusha,pili ni quality ya picha kwani picha ya tecno ya laki na hamcn cwez linganisha na cmu ambayo naweza ipata used kwa hiyo bei tatu mimi natumia simu ya juu ikiwa kama asset anytime nikiwa nashida nauza napata cash yangu ambayo si ya hasara wakati kwa tecno hili ni ngumu kumuuzia mtu tecno used ni kazi na hata akichukua price itakua chini saaaana,napenda sana pia kucheza game haswa real football nakosa huondo tecno pia ni fan wa music muda wote nakosa huondo huo tecno quality ya music produced hapana ndio maana napenda blackberry na Nokia

Music umefanyaje?
 
Music umefanyaje?

Ndugu english inakupiga chenga au!chukua tecno weka earphones original then tafuta phone nyingine kama blackberry,nokia,samsung,sony ericsson au htc kisha angalia vifuatavyo.1-quality ya music produced,2-time ya kusikiliza music from when the battery is full to when its empty kisha leta ripoti
 
Ndugu english inakupiga chenga au!chukua tecno weka earphones original then tafuta phone nyingine kama blackberry,nokia,samsung,sony ericsson au htc kisha angalia vifuatavyo.1-quality ya music produced,2-time ya kusikiliza music from when the battery is full to when its empty kisha leta ripoti

Hakuna tofaut yyt ile
 
Tecno ni simu nzuri kwa matumizi ya kawaida, mfano wa matumizi ya simu yangu.
1. Server Manager android application
2. cPanel/WHM android application
3. Client Management Custom android application
4. Pingdom web tools

Kwa matumizi haya tu nahitaji processing power kubwa na simu iwe na uwezo ili kuweza run vyote kwa mpigo pasipo shida. Kwa kutumia ya chini ya 450000TSH (Phantom) huwezi fanya yote kwa ufasaha.

Sasa Hapo umeweza kufanya hato yote kwa kutumia simu ya Techno au? imeshindikana...au haiwezekani kufanya hayo yote kwa simu ya Techno???


Live Streaming mkuu nadhani ulitakiwa kuangalia net yako. Nimewahitumia Tecno P5 kuangalia mechi nzima.

Ebana mimi sio mtaalamu sana lakini kwa kawaida kukwama kwama kwa streaming ni tatizo la network aisee...sasa usi diss vitu tu...
 
Live streaming,mfano nmeshndwa kuangalia kombe la dunia kwa TECNO P9,ila nmeweza kwa Blackberry Q5..

hyo tecno ilkua haziishi sekunde 10 imekwama..

Mwisho wa picha na-conclude simu ya Techno inafanya mengi tu kama hizo simu mnazozisifia..mark my words nimesema mengi sio yote..maana mengine yanabaki ni vikorombwezo tu..vya hapa na pale maana Techno zingine zina specifications kubwa tu...

Tofauti ya Techno na hizo simu nyingine tuseme ni quality tu aisee...mara HD sijui nin na nin etc etc...ila hamna point nyie mnao idiss techno

Nimeandika tu haya maana nikitaka nione hayo matumizi yasisyo ya kawaida..

OuVerrr...Lyamber 1..SwAgG master..!!!! ooooii oooooiiii....!!!!!
 
Tecno tatizo ni kuload slow ukiwa mbali na town specially kwa huku Arusha,pili ni quality ya picha kwani picha ya tecno ya laki na hamcn cwez linganisha na cmu ambayo naweza ipata used kwa hiyo bei tatu mimi natumia simu ya juu ikiwa kama asset anytime nikiwa nashida nauza napata cash yangu ambayo si ya hasara wakati kwa tecno hili ni ngumu kumuuzia mtu tecno used ni kazi na hata akichukua price itakua chini saaaana,napenda sana pia kucheza game haswa real football nakosa huondo tecno pia ni fan wa music muda wote nakosa huondo huo tecno quality ya music produced hapana ndio maana napenda blackberry na Nokia

mkuu we uko arusha ip?
mbona sim za techno huku zinapga kazi fresh tu!
 
Shukrani kwa Mrejesho Mkuu, WaTz wanakamuliwa kizembe sana.....

kariakoo wamehama nadhani ni kukwepa kero za wateja wanairudisha cm kwa matengenezo.

Nilinunua Tecno P7 ndani ya mwezi mmoja ikaanza kustack, niliipeleka castama kea,iliwachukua mwezi kuitengeneza na mbaya zaidi nilipoichukua nikitaka kukonekti data ina niambia invalid Imei.

poleeeeeeeee
 
mbna haya ma tecno mm nimeyatmia sana lakini sijawahi kuona inizimikie
 
Samahani naomba kujua simu ipo bora kati ya hizi
1. Huawei Y 300
2. Tecno P5
3. Tecno H5

asante kwa taarifa mtakayonipa
 
Msaada tafadhali, natumia tecno P3, nilitumia whatsApp kwa muda lkn kwa sasa inakataa. Nimejaribu kujisajili upya inakataa, inaleta option ya "Adjust date" zaidi ya hapo hakuna option endelevu. Msaada please!!!
 
Msaada tafadhali, natumia tecno P3, nilitumia whatsApp kwa muda lkn kwa sasa inakataa. Nimejaribu kujisajili upya inakataa, inaleta option ya "Adjust date" zaidi ya hapo hakuna option endelevu. Msaada please!!!

rekebisha tarehe ya cm yako itakubali
 
Nina TECNO L3, imekufa, haisomi line na ukifungua settings, sehem ya line management sio active, na ukitaka ku activate, inaandika "settings has stopped"..... kuna mwenye ujuzi wa kutatua hii kitu???
 
Back
Top Bottom