Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
- Thread starter
- #41
Hawa masomo inabidi wapewe heshima nawatambulike kwenye jamii ili kulinda huu utamaduniSie tunaotoka maeneo ya ukanda huu wa pwani Tanga, Zanzibar na mtwara ni ajabu Sana mtoto wa kike asiejua kukatika kitandani hizi mira za unyago bado zipo sana ila kwa sasa wameadvance zaidi wanafanya kipindi Cha kujiandaa na harusi mwezi mmoja kabla Bibi harusi mtarajiwa anatiwa kambini na wabobezi wanapewa darasa kunakua na wamama mahususi aka wahenga wanafunza kila kituu jina lengine wanawaita SOMO.