Technology ya kukata viuno inapotea

Oouh hapo tupo sambamba maana nilipatwa na mfadhaiko mkubwa saana nikajua nawe utastop...

Hizo elimu zimehamia youtube siku hizi
Siwezi baby.. sababu vinakujaga sasa nisipovikata ntakua nafake bby..
 
Siku hizi mabinti wanashindana kutingisha nundu halafu wanadai wanakata uno. bora tu
mila na tamaduni ziendelee ili utaalamu wa uno usipotee kabisa
 
Wanaume mnaona umuhimu wa kukatiwa viuno? Career women wengi ni wabovu katika hili
Sie tunaotoka maeneo ya ukanda huu wa pwani Tanga, Zanzibar na mtwara ni ajabu Sana mtoto wa kike asiejua kukatika kitandani hizi mira za unyago bado zipo sana ila kwa sasa wameadvance zaidi wanafanya kipindi Cha kujiandaa na harusi mwezi mmoja kabla Bibi harusi mtarajiwa anatiwa kambini na wabobezi wanapewa darasa kunakua na wamama mahususi aka wahenga wanafunza kila kituu jina lengine wanawaita SOMO.
 
Siku hizi mabinti wanashindana kutingisha nundu halafu wanadai wanakata uno. bora tu
mila na tamaduni ziendelee ili utaalamu wa uno usipotee kabisa
Tuts balance vipi kati ya makuzu ya mtoto, elimu na sehemu ya mila na utamaduni?
 
Ni heri kubadilisha mpaka mtoto akifikisha miaka 18 at least maana kidogo anakua anajitambua.
Mtoto akitoka 18 Mara nyingi anakuwa A-levels au chuo sasa hapo muda wa kumfundisha haya unakuwa mdogo pia wa kufika chuo wengi huo a Nola hizi zimepitwa na wakati
 
Wanaume mnaona umuhimu wa kukatiwa viuno? Career women wengi ni wabovu katika hili
Umuhimu ni mkubwa saana.. na hapa ndipo ule msemo wa utamaliza butcher ila nyama ndiyo ile ile hufia.

Mambo yote yapo mitandaoni ukitoka kazini unajifunza.
 
Umuhimu ni mkubwa saana.. na hapa ndipo ule msemo wa utamaliza butcher ila nyama ndiyo ile ile hufia.

Mambo yote yapo mitandaoni ukitoka kazini unajifunza.
Haya mafunzo ya mitandaoni si kama ya kule kwetu Kwamtogole kule unawekewa kinu juu na sindano chini ukizembea tu sindano inakuchoma. In short it's more practical
 
Tuts balance vipi kati ya makuzu ya mtoto, elimu na sehemu ya mila na utamaduni?

Wote tufanye majukumu yetu kisawasawa. Yaani mila na utamaduni jukumu la wazazi na jamii (shuleni walimu wanatoa support tu katika hili); Elimu walimu jukumu la walimu (wazazi na jamii wanatoa support katika hili)
 
ila kuna wasichana wachache bado ni miuno feni adi unahis anaikata dudu ynyewe ila wengine ni magogo....kah...na ndo mana hatuishiwi kuchepuka ad tupate wenye ufundi mwingi...
 
Kwanza ulikuwa kukata bound inasaidia weight control maana ni zoezi lile
haha we unaonekana hatari sana kwenye show za kibabe kwa style hizo nywila za banki akaunti na mpesa unapata bila nguvu ndio mana watu wanafail kulast long dakika 2 wazungu hao
 
Wote tufanye majukumu yetu kisawasawa. Yaani mila na utamaduni jukumu la wazazi na jamii (shuleni walimu wanatoa support tu katika hili); Elimu walimu jukumu la walimu (wazazi na jamii wanatoa support katika hili)
Unafikiria kuendeleza mila watot mafunzo wafikiriwe malipo stahiki ili wapate moyo wa kuendelea na kazi?
 
Back
Top Bottom