Technically, huwezi shindana na serikali, never

Technically, huwezi shindana na serikali, never

Mara serikali ni watu...mara ooh wananchi ndyo wenye nguvu...au sisi so watu? Mnatuchanganya sasa
 
hii amani ya kisenge imeshachokwa,....
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Serikali ni nini?
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Don't you know that the government is juridical person who is also binds to the law?
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Kwahiyo watu waogope kuibua maovu mnayofanyia wananchi kisa mna mkono mrefu? katika huo mkono mrefu wewe ni ukucha? unaenjoy watu wanavyouawa na kuteswa ndani ya nchi Yao?
Bro siku yakikutokea utakuja kuelewa nini watu wananaanisha

Kama huwezi kuwapa hata pole wenye majeraha basi usiwe sehemu ya kusogeza nzi kwenye vidonda vyao,tulia wanaume tutawapigania hata nyie wengine
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Uko sahihi kabisa. Hakuna mtu au mbwa yoyote dunia hii iliishawahi kuwa juu ya Serikali. HAKUNA! Mwenye mfano alete!
 
Serikali yoyote hata kama inaongozwa na mtoto ni dola. Huwezi kucheza na dola, la maana ni kujitahidi kwa kura isiingie madarakani, ikiingia, kama huipendi labda uhane nchi.
 
huu ni ukweli ambao tunatakiwa kujifunza kwayo
 
Ndoto kubwa ya serikali hii ni kua na wananchi wenye akili za aina ya aliyetoa mada hapo juu
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Kati ya chepes kushindana nacho ni serikali nikwambie kupitia nguvu ya watu ni suala jepesi sana mfano ukiwa kama Mwanza ukifuatwa na police unapiga mwanzo kila raia atatoka nje na mkuki, panga ama shoka ili kuitikia mwano safi kabisa lakin ukiwa dar umekwisha
 
Sikutegemea kabisa uandike hiki.....

anyway ni mawazo yako.. HATUCHEZI NG'OO
 
Back
Top Bottom