Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 3,475
- 5,900
Wa kiume wewe hebu jikaze basi, mbona unaandika vitu mchele mchele. Amani, amani, amani ya nyokooo. Watanganyika wangapi wamepotezwa kwa kusema na kudai haki yao ya msingi iliyopo kwenye katiba. Freedom of Expression ni haki ya kila raia wa Tanzania na Tanganyika lazima uelewe hilo. Kila mtu ana haki ya kukataa maovu kwenye jamii yake kama alivyofanya Gwajima, hakuna anayeshindana na serikali kwa maana serikali ni watu na watu ndio serikali. Fungua bongo zako.As long as itapelekea kulinda aman ya nchi ....sio mbaya
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
