Technically, huwezi shindana na serikali, never

Technically, huwezi shindana na serikali, never

Serikali ni wananchi, wananchi wanataka kutekwa wanapinga hoja za Gwajima😁
Zombie lingine hili hapa, we ni sehemu ya serikali? Wananchi wanamchagua tu Rais, Rais ndiyo anaunda serikali ili imsaidie kutekeleza aliyowaahidi wananchi.
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nakubali.

Maslahi ya kina Gwajiboy yasituvurugue Nchi.
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Hatuchezi... 😀 😀
 
Nimekudharau hapo chini na hilo li neno lako la hatuchedhii...hivi mkicheza mtaweka wapi sura zenu...acheni uzoba....
na li emoji la kucheka la nini sasa kwenye vitu siriaz...
 
Nimekudharau hapo chini na hilo li neno lako la hatuchedhii...hivi mkicheza mtaweka wapi sura zenu...acheni uzoba....
na li emoji la kucheka la nini sasa kwenye vitu siriaz...
MKuu hii ni akili kubwa...yenye PhD.... huwezi ELEWA we standard 7

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Wacha magwajima yaendelee kugwajimika...
Ninachojua Hakuna mahala wanaenda.
 
Kwa haya mambo yanayoendelea ni wazi tu kuwa raia wawe wapole serikali ina mkono mrefu kamwe huwezi kushindana nayo au kutunishiana misuli

Since Kuna mambo mengi raia tunayoyafanya lkn ni vile tunabebana lkn kama serikali inge apply Sheria Kila angle basi ingekua hatari .........

Kama unalima...wewe endelea kulima.....

Amani ya nchi.....let be our priority

***Hatuchezi
Huna Akili wewe
 
Phd ya kucheka cheka labda....
Mimi nakuzidi kila kitu elimu..exposure wewe mlima ndizi wa mbarari....
Labda exposure ya kubeba kombe la mtofyo (aluminum)
1748193343786.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom