Safari yake ya kisiasa imekwisha akamalizie maisha yake kanisani kwake haya mambo anayoyatafuta ndani nchi hii yatammaliza sijui kama anaelewa maana ya ile rangi nyeusi kati kati ya bendera ya Tanzania.
Kutokana na kanisa hili kuendesha mikutano ya siasa (na kupiga umbea) badala ya kufanya ibada ya mafundisho ya yesu; Je, ungependelea kanisa hili lifutiwe usajili ili kuepuka uchochezi zaidi wa kisiasa unaopelekea kufukuzwa kazi baadhi ya mawaziri serikalini? Piga kura Tahadhari: Zaidi ya 60%...
Ila bado Ni potential candidate akiwa chama pinzani kwenye fair election!
Na akiamua kukomaa na CCM, atarudi kwa kishindo 2035, kwani 2030 bado mama atakuwa kweye madaraka ya chama
Ila bado Ni potential candidate akiwa chama pinzani kwenye fair election!
Na akiamua kukomaa na CCM, atarudi kwa kishindo 2035, kwani 2030 bado mama atakuwa kweye madaraka ya chama