President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,548
- 89,516
Watu wengi hufikiri vita ya teknolojia ni kati ya USA na China… Lakini ukichunguza kwa undani, kuna vita isiyo rasmi kati ya China ndani ya china na diaspora yake Wachina walioko Marekani wanaoongoza makampuni makubwa ya AI ya Marekani.
1. Vita ya Teknolojia: USA vs China (Kiwango cha Serikali)
2. Wachina wa Diaspora Wanaongoza AI ya Marekani Mifano Hai:
🔹 Nvidia CEO: Jensen Huang (Mzaliwa wa Taiwan)
👉 Kampuni hii ni msingi wa AI kote duniani (ChatGPT, Tesla, Meta, nk).
🔹 AMD CEO: Dr. Lisa Su (Taiwanese-American)
👉 AMD sasa inashindana na Nvidia kwenye chips za AI na server processors.
🔹 Broadcom CEO: Hock Tan (Mzaliwa wa Malaysia, asili ya Kichina)
👉 Anasimamia kampuni inayochangia vifaa vya msingi vya AI na mtandao.
🔹 Scale AI CEO: Alexandr Wang (Mtoto wa wazazi wa Kichina kutoka New Mexico)
👉 Kampuni muhimu inayofundisha data ya AI kwa Pentagon na Silicon Valley.
Je, USA Inawategemea Wachina Kujenga Silaha za Kidigitali dhidi ya China?
Nimepitia kwenye mahojiano mengi sana kwenye vyombo vya habari nimeona Wachina wakiwa wanaongea na kuiwakilisha USA kwenye Tech.
Guys what is going on here?
Kwenye Siasa na Serikali ya USA wamo wengi tu.
Huu ni mfano tu lakini mpaka na shangaa Trump anashindana na nani?
1. Vita ya Teknolojia: USA vs China (Kiwango cha Serikali)
- Marekani imewekeza mabilioni kupitia CHIPS Act ili kurudisha utengenezaji wa semiconductors ndani ya nchi.
- China nayo inaweka pesa nyingi kwenye R&D ya AI, quantum, na chip design (Huawei, SMIC, Baidu, etc).
- Lakini kuna "chess move" ya kimyakimya inayoendelea.
2. Wachina wa Diaspora Wanaongoza AI ya Marekani Mifano Hai:
🔹 Nvidia CEO: Jensen Huang (Mzaliwa wa Taiwan)
👉 Kampuni hii ni msingi wa AI kote duniani (ChatGPT, Tesla, Meta, nk).
🔹 AMD CEO: Dr. Lisa Su (Taiwanese-American)
👉 AMD sasa inashindana na Nvidia kwenye chips za AI na server processors.
🔹 Broadcom CEO: Hock Tan (Mzaliwa wa Malaysia, asili ya Kichina)
👉 Anasimamia kampuni inayochangia vifaa vya msingi vya AI na mtandao.
🔹 Scale AI CEO: Alexandr Wang (Mtoto wa wazazi wa Kichina kutoka New Mexico)
👉 Kampuni muhimu inayofundisha data ya AI kwa Pentagon na Silicon Valley.
Je, USA Inawategemea Wachina Kujenga Silaha za Kidigitali dhidi ya China?
Nimepitia kwenye mahojiano mengi sana kwenye vyombo vya habari nimeona Wachina wakiwa wanaongea na kuiwakilisha USA kwenye Tech.
Guys what is going on here?
Kwenye Siasa na Serikali ya USA wamo wengi tu.
- Michelle Wu Meya wa Boston
- Karen Goh Meya wa Bakersfield, California
- Judy Chu Mbunge wa California
- Grace Meng Mbunge wa New York (NY‑6)
- Susan C. Lee Secretary of State, Maryland
- Fiona Ma State Treasurer, California
- Betty Yee State Controller, California
- William Tong Attorney General, Connecticut
- Kimberly Yee State Treasurer, Arizona
Huu ni mfano tu lakini mpaka na shangaa Trump anashindana na nani?