Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,192
- 46,240
Roho mbaya tu inakusumbua.Google, fungeni kabisa simu za tecno na itel, yaani Android isifanye kazi kabisa ktk simu za tecno.
Roho mbaya tu inakusumbua.Google, fungeni kabisa simu za tecno na itel, yaani Android isifanye kazi kabisa ktk simu za tecno.
sideload apk ya playstore, tumia website ya apk mirrormm siiipati tena Play store
nili Unistall baada ya kuikosa kwa masaa
sasa nikitaka kuiReinstall haitaki
Chief-Mkwawa
niende wapi
Download au
kwa xiaomi ni sawa mkuu, toka mwanzo ipo hivyo. ila oneplus ni tatizo, ilitakiwa isiwe hivyo.Nimecheck hadi xiaomi redmi 4A nayo hivyo hivyo Uncertified
Mmmmh kama simu gani?Hata walioroot simu zao pia zote zinasoma uncertified
kwa iyo xaomi zote zitakuwa ivo chiefkwa xiaomi ni sawa mkuu, toka mwanzo ipo hivyo. ila oneplus ni tatizo, ilitakiwa isiwe hivyo.
Ishu ya Certification haina maana kwamba simu zitazimwa kama ilivyokuwa kipindi kile cha kuzima simu fake hapa bongo.Wadau mtu yeyote mwenye simu ya Tecno naomba aende play store alaf aende settings, kisha aangalie chini kabisa aone kama simu yake imeandikwa Certified au Kama imeandikwa *Uncertified* kuna hatari ya simu hiyo kuzuiwa kutumia Google Services.
Team tecno kaeni chonjo fagio la chuma linakujaView attachment 725180
Halafu co all TECNO ziko uncertified baadh tu but huawei Ndo kwa heriKwisha Habari yake tecno