teachers junction;8289427 said:Habari wana jf.
kwa walimu walljjsajili alokuwa tayari kufanya na Agape history,geo and kiswahili.
Marian bagamoyo science,Social study and english.
Tanga biology,physics and chemistry.
Arusha prime kiswahili,chemistry and biology.
kwa wasojisaliji wenye utayari mnakarkbishwa lamoja na form six alosoma pcm,pcb,cba,cbg na coz nyingne za science.
+255-753810857
Be cares.
teachers junction;8011417 said:habari wana jf.
Mawakala wa ajira za walimu tanzania.
Teachers junction
kuanzia sasa tutakuwa tunaweka updatz zetu humu.
Hivyo walimu,wasokuwa walimu bali wamewahi kufundisha na wenye nia ya kufundisha.
Tunashauri wawe na mazoea ya kupita hapa kila mara ili kujua nini tunacho kwa wakati huo.
Pia zingatia kuwa nafasi zitakazotangazwa ni zile zilizopo kwa wakati huo.
Hata hivyo mwalimu anapofanya usajili wakati nafasi yake hakuna atapewa kipaumbele pindi itokeapo kabla ya kutangazwa.
Teachers junction
the strength of eduation.
+255753-810857
Njama utawapiga sana mwaka huu..hahahahah
hahaha nimependa jibu lako hapo chini. Yaani kwa maelezo hayo hapo juu ana vigezo kabisa!mimi form six nimesoma pcb naweza pata nafasi npo tayari 0764649249
teachers junction;8312448 said:tutafute kijana.
maelezo yanaonesha unavigezo.
sasa unaweka namba wakt tumeshakuwekea si upige?
Wanao pata nafasi mbona hamtupi mrejesho?