Teachers‘ Junction

Teachers‘ Junction

teachers' junction

Senior Member
Joined
Dec 5, 2013
Posts
122
Reaction score
9
Habari wana JF.

Mawakala wa ajira za walimu tanzania "Teachers junction" kuanzia sasa tutakuwa tunaweka updatz zetu humu. Hivyo walimu, wasokuwa walimu bali wamewahi kufundisha na wenye nia ya kufundisha. Tunashauri wawe na mazoea ya kupita hapa kila mara ili kujua nini tunacho kwa wakati huo. Pia zingatia kuwa nafasi zitakazotangazwa ni zile zilizopo kwa wakati huo.

Hata hivyo mwalimu anapofanya usajili wakati nafasi yake hakuna atapewa kipaumbele pindi itokeapo kabla ya kutangazwa.

Teachers junction the strength of eduation.
+255753-810857
 
Teachers‘ junction
wale walimu wote walofanya usajili wanaofundisha biashara,geography na history.
awamu ya kwanza tutawaita jumamosi tarehe 07/12/2013 kwa ajili ya mbagala olevel,tafadhali kwa wale walokwenda centennial na philadephiya sio shule hiyo tena.
na awamu ya pili ni wale wa history,geography na civics olevel na grade A science kwa ajili ya kimara,tarehe tutawataarifu.
pia awamu ya tatu watakenda gongo la mboto na kiluvya.
zingatio.
tumejaribu kuwapanga walimu kwa maeneo ili kurahisisha usaili.
Nb.
Tunaomba mwalimu ajiamini na kuonesha uwezo wake wote wakt wa usaili.
+255-753810857 karibuni sana
 
Last edited by a moderator:
Ni matumaini yetu kwamba wale wanaofundisha History,Geograph na biology.
waliokuwa tayar kufanyakaz pwani.
wametaarifiwa tarehe ya interview na lini wakutane.
hata hvy kama umejisajil na uko tayari kwa sasa kufanyakaz pwani tafadhali tupigie hadi ifikapo jumaa pili 08-12-2013 kuthibitisha utayari wako.
+255-753810857.
 
Habari.
kuna nafasi tatu.
1.mwalimu wa biology nafas 2
kongowe mzinga.
offer not less 550,000/=
2.mwalimu wa english.
kongowe mwisho
offer not less 700,000/=
3.physics and civics.
kongowe mwisho.
offer not less than 670,000/=
zote ni O‘level.
mwisho tarehe j5 ya tarehe 11/12/2013.

Nyingine ziko kimara mwisho.
Olevel na Primary.
tutazitangaza jumaatano
11/12/2013.
+255-753810857.
Teachers Junction
 
BAGAMOYO.
1.Diploma nafasi 3
social studies
sallary offered 500,000/=
2.Grade A
Social studies
Sallary offered 400,000/=
NB.
Wenye umri mkubwa 30-45 watapewa kipaumbele.
Mwisho 13rd/12/2013
+255-753810857
 
teachers‘ junction;8035047 said:
Habari.
kuna nafasi tatu.
1.mwalimu wa biology nafas 2
kongowe mzinga.
offer not less 550,000/=
2.mwalimu wa english.
kongowe mwisho
offer not less 700,000/=
3.physics and civics.
kongowe mwisho.
offer not less than 670,000/=
zote ni O‘level.
mwisho tarehe j5 ya tarehe 11/12/2013.

Nyingine ziko kimara mwisho.
Olevel na Primary.
tutazitangaza jumaatano
11/12/2013.
+255-753810857.
Teachers Junction

What's in for you? Please be open, siyo tunapiga simu na kuambiwa mshahara wakanza na wa pili ni wenu..
 
What's in for you? Please be open, siyo tunapiga simu na kuambiwa mshahara wakanza na wa pili ni wenu..

Tunajitahd sana kuwa wazi.
sidhan kama unashndwa kupiga simu kuuliza au unataka maelezo yote ya ofc na form tuweke humu unadhan utasoma au utaona ni makala?
badilika mkuu.
 
Habari ya jtatu wana jf.
Kwa wale walimu walotakiwa kwenda kufanya interview Tegeta j3 ya tarehe 16th/12/2013 interview hiyo imeghairishwa mpaka j3 wiki ijayo.
Kwa wale wanaotakiwa kwenda Kongowe na wale wakwenda kimara hakuna mabadiliko ratiba iko vile vile.

HATA HIVYO.
walimu wa Diploma na Grade A bado wanahitajika kwa Kongowe,Kimara na Bagamoyo.

Teachers‘ junction
inawatakia Interview Njema.
kwa maelezo zaidi kupigie:-
+255-753810857
 
Habari ya jumanne wanajf.
Walimu waliokwenda kimara kwa ajili ya geo,history na kiswahl secondari,tunatarajia kufanya interview ya pili ambayo ni ya darasani tarehe 02/01/2014.
ikifuatiwa na agape kongowe tarehe 06/01/2014.
Pia tunaomba radhi kwa walimu walotakiwa kwenda st.Elizabeth kucheleweshwa ni kutokana na kubadilishwa kwa uongozi shulen hapo akiwemo mkuu,hata hvy tumekaa na uongz mpya hvyo tutawataarifu cku rasmi ya interviw
.
kwa walimu wa kwenda kings primary mbez,interview itafanyika ijumaa ya tarehe 20/12/2013.
Nb.
kwa mwalimu yeyote ambae anaishi/yuko tayar kufanyakaz mbezi kimara mwenye grade A au Diploma nafasi bado zipo awah kwa ajili ya interview ijumaa na watakaoenda.

mahitaji ya bagamoyo na kongowe bado yapo.

pia tunatoa dau la 700,000/= to 750,000/= kwa mwalimu ambae ame base kwenye geography na alobase kwenye historia kwa o‘level.

mungu atuongoze kwa kila jambo
+255-753810857
 
teachers‘ junction;8132698 said:
Habari ya jumanne wanajf.
Walimu waliokwenda kimara kwa ajili ya geo,history na kiswahl secondari,tunatarajia kufanya interview ya pili ambayo ni ya darasani tarehe 02/01/2014.
ikifuatiwa na agape kongowe tarehe 06/01/2014.
Pia tunaomba radhi kwa walimu walotakiwa kwenda st.Elizabeth kucheleweshwa ni kutokana na kubadilishwa kwa uongozi shulen hapo akiwemo mkuu,hata hvy tumekaa na uongz mpya hvyo tutawataarifu cku rasmi ya interviw
.
kwa walimu wa kwenda kings primary mbez,interview itafanyika ijumaa ya tarehe 20/12/2013.
Nb.
kwa mwalimu yeyote ambae anaishi/yuko tayar kufanyakaz mbezi kimara mwenye grade A au Diploma nafasi bado zipo awah kwa ajili ya interview ijumaa na watakaoenda.

mahitaji ya bagamoyo na kongowe bado yapo.

pia tunatoa dau la 700,000/= to 750,000/= kwa mwalimu ambae ame base kwenye geography na alobase kwenye historia kwa o‘level.

mungu atuongoze kwa kila jambo
+255-753810857

Leo sio jumanne Headmaster..
 
Habari wana jf.
kwa wale walimu waloghairishiwa interview Elizabeth sasa itafanyika kwa awamu ikijumuisha wale professional na non wotakwenda kesho na keshokutwa zote ni darasani.

kwa wale walimu wanaotakiwa kusafiri kutoka shinyanga,mwanza,ruvuma wote watano ratiba haijabadilika,hivyo karibuni sana

pia kuna nafasi kwa Tanga mjini hvyo mwalimu aliyoko Tanga au anaependa kufanya Tanga mjini karibuni,shule ni olevel.

Nb
kuna order kwa ajili ya walimu wa kiswahi kwa ajili ya kwenda Uganda kaa tayari.
tutakuandalia kila kitu kwa ajili ya safari.
+255753-810857
 
teachers‘ junction;8011417 said:
habari wana jf.
Mawakala wa ajira za walimu tanzania.
Teachers‘ junction
kuanzia sasa tutakuwa tunaweka updatz zetu humu.
Hivyo walimu,wasokuwa walimu bali wamewahi kufundisha na wenye nia ya kufundisha.
Tunashauri wawe na mazoea ya kupita hapa kila mara ili kujua nini tunacho kwa wakati huo.
Pia zingatia kuwa nafasi zitakazotangazwa ni zile zilizopo kwa wakati huo.
Hata hivyo mwalimu anapofanya usajili wakati nafasi yake hakuna atapewa kipaumbele pindi itokeapo kabla ya kutangazwa.
Teachers junction
the strength of eduation.
+255753-810857

mind you, teaching is a profession, anyone cannot be a teacher. A teacher should go a series of training rather than academics. Usidhalilishe taaluma. ''eti wasiokuwa walimu bali wamewahi kufundisha'' hata mzazi ni mwalimu basi. To hell teacher's junction
 
Habari ya jpili wana jf.
Wale walimu walopangiwa kwenda mbezi kimara kesho j3 23,12,2013,tunaomba radhi hivyo tutakwenda ijumaa ya tarehe 27,12,2013.
Badiliko hili ni kutokana na kutopatikana walimu wa kutosha wanaoishi maeneo hayo au walokuwa tayari kupanga karibu na shule.
Walimu wa Diploma na Grade A wanaoishi na walotayar kufanyakazi mbezi ya kimara Dar es salaam karibuni kabla ya tarehe 27,12,2013.
+255-753810857
 
Mimi si mwalimu by Profession but graduate wa Bness admin, bachelor.Teaching is one of my passion ila sitaki full employment but rather kazi ambayo niko free kufanya mambo yangu mengine (not tied 100% as employee).Am gud in Maths and Physics as well as nina ka uzoefu kidogo ka kufundisha tuition.Am self employed now....any room for the nature of the job i want???

Kama ungekuja oficn ingekuwa vizuri naamin tungepata muafaka.
karibu
 
Mimi naishi kimara,nina degree na uzoefu wa miaka 3,nafundisha history na civics na English.
teachers‘ junction;8011417 said:
Habari wana jf.
mawakala wa ajira za walimu tanzania.
Teachers‘ junction
kuanzia sasa tutakuwa tunaweka updatz zetu humu.
hivyo walimu,wasokuwa walimu bali wamewahi kufundisha na wenye nia ya kufundisha.
tunashauri wawe na mazoea ya kupita hapa kila mara ili kujua nini tunacho kwa wakati huo.
pia zingatia kuwa nafasi zitakazotangazwa ni zile zilizopo kwa wakati huo.
hata hivyo mwalimu anapofanya usajili wakati nafasi yake hakuna atapewa kipaumbele pindi itokeapo kabla ya kutangazwa.
teachers junction
the strength of eduation.
+255753-810857
 
Habari wana jf.
poleni na pilika za x-mass huku tukiendelea kumuomba mungu atuweze kuuona mwaka mpya wa 2014.
Wale walimu tulokuwa tukiwasubiri kwa ajili ya kwenda Mbezi kimara tumefanikiwa kuwapata.
hivyo wanatakiwa kwenda kwa interview jumaatatu ya tarehe 30,12,2013..
yoyote mwenye barua kutoka kwetu anatakiwa kwenda.
Teachers‘ junction inawatakia kila la kheri.
walimu walofanya interviewe Elizabeth tunatarajia kuwaita kwa interview ya pili tarehe 06,01/2014 ambayo itakuwa ya darasani.
mungu atuongoze.

Kwa sasa.
kuna nafasi ya Diploma na graduate.
Bagamoyo.
Diploma au Degree kimara. Biashara na social study kwa primary,Diploma na Degree.
wote mnakaribishwa.
+255-753810857
 
teachers‘ junction;8223985 said:
Habari wana jf.
poleni na pilika za x-mass huku tukiendelea kumuomba mungu atuweze kuuona mwaka mpya wa 2014.
Wale walimu tulokuwa tukiwasubiri kwa ajili ya kwenda Mbezi kimara tumefanikiwa kuwapata.
hivyo wanatakiwa kwenda kwa interview jumaatatu ya tarehe 30,12,2013..
yoyote mwenye barua kutoka kwetu anatakiwa kwenda.
Teachers‘ junction inawatakia kila la kheri.
walimu walofanya interviewe Elizabeth tunatarajia kuwaita kwa interview ya pili tarehe 06,01/2014 ambayo itakuwa ya darasani.
mungu atuongoze.

Kwa sasa.
kuna nafasi ya Diploma na graduate.
Bagamoyo.
Diploma au Degree kimara. Biashara na social study kwa primary,Diploma na Degree.
wote mnakaribishwa.
+255-753810857

Mkuu PM mbona hujibu?
 
Habari wana jf.
Hatuna budi kumshukuru mungu kwa kutufikisha hapa mwaka 2014.
Tumeshaanza kufungua shule kwa wiki hii na whki ijayo.

Tunazo nafasi nyingi kwa walimu wa Grade A,Diploma,Degree.
kwa shule za Tanga,Dar,Pwani na morogoro.
karibuni sana.
magomeni mapipa jijini Dar es salaam.
+255-753810857
 
Back
Top Bottom