Habari za asubuhi Wakuu?
Naomba kuwauliza kama vyuo vikuu vimeshafungua dirisha kwaajili ya maombi ya vyuo awamu ya tatu, na kama limeshafunguliwa vipi deadline ya kuomba ni lini?
Omba udomHbr ndugu, naomba ushaur ninayo diploma ya local government nimefany application mar mbil mzumbe lkn sijakuwa selected due to high competition naomb nishaur niapply chuo gan kingine ambacho nitasoma coz ambazo zina relate na nilichosomea.. Mfano coz za HR, public administration, community dvlp na nyinginezo.. Ushaur tafadhal
Linafunguliwa tarehe 25 na litafungwa tarehe 29 mwezi was tisaHabari za asubuhi Wakuu?
Naomba kuwauliza kama vyuo vikuu vimeshafungua dirisha kwaajili ya maombi ya vyuo awamu ya tatu, na kama limeshafunguliwa vipi deadline ya kuomba ni lini?
View attachment 2757739
soma hapo kweny no 11
Mbona vyimuo vingi tuu unaweza enda homboloHbr ndugu, naomba ushaur ninayo diploma ya local government nimefany application mar mbil mzumbe lkn sijakuwa selected due to high competition naomb nishaur niapply chuo gan kingine ambacho nitasoma coz ambazo zina relate na nilichosomea.. Mfano coz za HR, public administration, community dvlp na nyinginezo.. Ushaur tafadhal
asante nashkurView attachment 2757946
hyo pitia hyo alaf angalia vyuo vinavyoruhusu mtu wa diploma aliye soma local government anaweza kusoma coz gan bachelor degree
ukiona umeshindwa kabisa nichek inbox