wadau nimeshtushwa nilipoifungua website ya TCU usiku huu na kukuta message hii "HACKED....WEBSITE HACKED BY TAJINDER TECHNICAL RAINBOW THE GROUP OF INDIAN HACKERS BE AWARE FOR NEXT TIME. JAI HIND.
Mchana wakati tunaomba udahili wa vyuo ghafla ikakata na kuleta message too many connections!!
Ni kitu gani hiki wataalam
Mchana wakati tunaomba udahili wa vyuo ghafla ikakata na kuleta message too many connections!!
Ni kitu gani hiki wataalam