TangataUnyakeWasu
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,269
- 1,585
Kama Kipo kwenye orodha ya vyuo vikuu basi inawahusu piaMsaada, Institute of Accountancy Arusha nayo inahusuka? au hiyo siyo University!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Kipo kwenye orodha ya vyuo vikuu basi inawahusu piaMsaada, Institute of Accountancy Arusha nayo inahusuka? au hiyo siyo University!
Through TCU/NACTE websiteWHERE DO YOU GET THAT LIST OF VYUO VIKUU
Ninayo barua ila nimeshindwa kuaploadMbona kwenye website ya TCU hakuna taarifa ya aina hii? Tuletee chanzo cha taarifa, otherwise acha kuwalisha wenzio sumu.
Barua wamekuandikia wewe bila kuiweka public kwenye website yao ili kila mmoja aone?
Ipo public long time jioni hii.Barua wamekuandikia wewe bila kuiweka public kwenye website yao ili kila mmoja aone?
website gani? maana kwenye www.tcu.go.tz hakuna taarifa ya aina hiyo. tupe chanzo chako
Shukrani sana mkuu
Kiendacho kwa mganga akirudiNa waliofanya malipo tayari inakuaje sasa
mmmhMapungufu:
Take care guys. uhalali wa barua hii bado ni mdogo sana almost negligible. Kwa serikali tuliyonayo ya watu kupenda misifa ya kijinga, kama barua hii ingekuwa halali hata Mkuu wa Mkoa (wa mkoa fulani) angefyatuka kujizolea umaarufu. so ipe asilimia ndogo sana za kuiamini.
- Barua imeandikwa tangu tarehe 25/7/2017 lakini kwenye website yao haipo kabisa.
- Muongozo unavielekeza vyuo vikuu vishiriki tu vya umma
- UD - colleges walianza jana, mpaka leo no changes gharama ni 20 thousands
- UDOM - bado ni 30 thousands
Hii inahusu vyuo vikuu vya umma au vya serikali tu kwa mujibu wa waraka unaodaiwa toka TCU. Japo wengine wanadai waraka huu haupo kwenye tovuti ya TCU!TCU imeagiza uongozi wa vyuo vya elimu ya juu kuwa gharama za kuomba kujiunga na chuo ni Tsh. 10,000/- tu kwa kila chuo.
Hii ni kutokana na utaratibu wa applications kubadilika na kuwa kila Mwanafunzi atatakiwa kutuma Maombi ya kujiunga na chuo moja kwa moja chuoni tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma!!
Binafsi nawapongeza TCU kwa kusimamia jambo hili mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vyuo vikuu vya umma na colleges zake kwa mujibu wa huo waraka unaodaiwa kuwa wa TCU! Ila tuwe makini maana inasemekana haupo kwenye tovuti ya TCU!RAFIKI JIRIDHISHE KWANZA , MAANA WAMESEMA VYUO VIKUU NA COLLEGES ZAKE