mswahili93
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 210
- 115
Mama Ndalichako ashasikia kilio chenu, pesa ya udahili inayotakiwa kutozwa ni sh.10,000/=
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama ndalicharcoal ashasikia kilio chenu.....pesa ya udahili inayotakiwa kutozwa n sh.10000
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada, Institute of Accountancy Arusha nayo inahusuka? au hiyo siyo University!TCU imeagiza uongozi wa vyuo vya elimu ya juu kuwa gharama za kuomba kujiunga na chuo ni Tsh. 10,000/- tu kwa kila chuo.
Hii ni kutokana na utaratibu wa applications kubadilika na kuwa kila Mwanafunzi atatakiwa kutuma Maombi ya kujiunga na chuo moja kwa moja chuoni tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma!!
Binafsi nawapongeza TCU kwa kusimamia jambo hili mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyuo vyote mkuuMsaada, Institute of Accountancy Arusha nayo inahusuka? au hiyo siyo University!