kwel kabisa, mimi nilipata 1:9 CBG,kutokana na kutokuwa na pesa za kwenda private maana advanc yenyew nilimaliza kwa mbinde though michango kwa ujumla haizid lak 4 kwa mwaka, nikaamua kuomba vyuo vya serikal kwa program za afya! kutokana na admission capacity kuwa ndogo sana kwa udom, muhas, ajuco nikaamua kuweka education kama last priority ili nikikosa afya bac nipate hata eductn kwa chuo ninachokipenda! na mambo ya kawa ivy nimechaguliwa ed na sijajutia maamuz yang maana ilikuwa hamna namna. N.B ufaulu wa 2.11 ni kawaida sana kwa mwaka huu! tena unasema huna pesa za kutosha kwenda privat kama vile bugando,st joseph, khairuk! nilitegemea hata 2nd selectn ungeweka educatn! mi nakushaur nenda tu education ndo bongo edc