TCU wameua ndoto yangu

TCU wameua ndoto yangu

pole sana kjana,
everything happens for a reason
may b that wasn't ur door who knows
inawezekana kuna option nyngne ambayo ndo best kwako, endelea kufocus
Weng yalwakuta kama yako ila mwsho walshukuru kuwa ilvyokuwa
GOOD LUCK
 
Achana na digrii nenda kachukue diploma ya hiyo medical kisha utaunga degree juu kwa juu.
 
  • Thanks
Reactions: zzz
Achana na digrii nenda kachukue diploma ya hiyo medical kisha utaunga degree juu kwa juu.
Angalia matokeo take ya 4m 6 utagundua yanatosha kabisa kupiga digrii....labda tu km shida yake ni AJIRA ndo akasome diploma
Ila siyo kusoma diploma ili aunge digrii wakati vigezo tayari anavyo na ukumbuke diploma to digrii siku hizi GPA so za kifala
 
Pole sana mdg wang, yalnkuta hayo nlpoamalza six 2013 Roho ilniuma sana bt baada ya counselling nyng nkaenda tu edn nkiwa na hope kuwa 3 yrs cyo ming na umr wang c mkubwa khvo coz six nlmalza na 20 saiz nshamalza hako kajiwe kamoja umr stll unaruhusu kwendelea na ndoto yangu, gud 4 me ntakuw na professional mbl iwapo ntaingia kwny Afya bt Mungu mkubwa kaGPA kangu c haba naona ndoto za kurud kwny Afya zshayeyuka coz nmekabahatsha kasponsorshp naendelea kukuruka na kamasters ka maswala ya chemistry (organic). vtu vngne vnakuja on de way achana na kuona mtaan watakuchukuliaje, nakumbuka mm hata lkz ya frst year ckurud mtaan kuogopa maswal ya unasomea nn, na nlshndwa diploma coz wazaz hawakuw na uwezo hako kaedn coz nlpewa 100% boom sometimes nlshow love kwao so maisha yalsonga, I hope even yu utakuw umr bado unaruhusu nakushaur go ahead achana na kukaa mtaan kuja kuapply next year hujui mwakan kutakuw na nn serikal ya ajabu sana hii.
 
Nakumbuka nilipokuwa mtoto watu wazima wakiniuliza,"ukiwa mkubwa unataka kuwa nani?" niliwajibu "nataka kuwa daktari kwani napenda nije kuwasaidia wagonjwa"

Wazazi wangu ni maskini lakini hawakutilia shaka na uamuzi wangu.Walijitahidi kwa hali na mali ili nifikie ndoto yangu.Walilipa karo zangu za shule na hata pesa kwa ajili ya tuition.

Nilipofika A level nilijitahidi sana kwenye masomo yangu ya mchepuo wa PCB.Wazazi wangu hawakuwa nyuma kunipa msaada wa kimawazo na pesa pale ilipohitajika kunilipia tuition na kununua mavitabu makubwa kama BS,Chand,Nelkon na mavitabu mengineyo ingawa hali yao kiuchumi haikuwa nzuri.

Picha lilianza pale NECTA walipobadilisha gia kwa kupandisha grades tukiwa kwenye hatua za mwisho za kumaliza kidato cha sita.Lakini hilo halikunishtua sana nilijitahidi sana bila kukata tamaa ingawa sikusoma shule bora sana.

Matokeo yalipotoka sio haba nilipata Div 2.11 yaani DDC, nikajipa moyo kwamba nitachaguliwa medical school.Part two ya picha ilikuja pale TCU ilipovifungia baadhi ya vyuo ambavyo vinatoa course za afya na kupunguza admission capacity kwenye vyuo vilivyobaki.

Nimepigwa danadana katika selections kutoka 1st round hadi 3rd round.Roho imeniuma pale nilipoona hata hii 3rd round haina vyuo za afya.

Nimebaki kushika tama, medical school ni jambo la kusikika tu kwangu.

Ndoto yangu tayari imeyeyuka.
Huja chelewa ndugu kama unania utaweza kwan kutangulia sio kufika unaweza pitia diploma ukapiga Clinical officer then ukaja ukapiga MD
 
Hizi hela tuzitafute sana jamani,kuna watoto wa matajir wana div 4 ila wapo wanasoma degree udaktar,vyuo vya private au nje ya nchi,ila kuna watoto wa familia za chini wamefaulu vizur ila kwa sabab ya kukosa ada wameamua kwenda diploma
 
Div 2,wa form 6 wa PCB akasome diploma 3yrs badaka ya degree? Bora hata asubiri mwakani
Wastage of time
je kama mwakani watoto kipasua zaidi atafanyaje?
sasa hivi ukitaka uhakika wa kwenda MD lazima uwe na div1.
cha kufanya kwa sasa aende akasome diploma tu, TCU wakifungua maombi aombe tena akifanikiwa kupata hiyo MD anaachana na hiyo diploma. kuliko kupoteza mwaka mzima mtaani
 
Kijana we are on the same boat picha yako na yangu ni sawa kabisaaa ko nadhan tukubali matokeo ili tusiwavunje moyo wazaz waliojitowa hata kwa maombi tukafika hapa tukawe maticha2 udactar mungu akipenda tutaangalia miaka ijayo!
kwel kabisa, mimi nilipata 1:9 CBG,kutokana na kutokuwa na pesa za kwenda private maana advanc yenyew nilimaliza kwa mbinde though michango kwa ujumla haizid lak 4 kwa mwaka, nikaamua kuomba vyuo vya serikal kwa program za afya! kutokana na admission capacity kuwa ndogo sana kwa udom, muhas, ajuco nikaamua kuweka education kama last priority ili nikikosa afya bac nipate hata eductn kwa chuo ninachokipenda! na mambo ya kawa ivy nimechaguliwa ed na sijajutia maamuz yang maana ilikuwa hamna namna. N.B ufaulu wa 2.11 ni kawaida sana kwa mwaka huu! tena unasema huna pesa za kutosha kwenda privat kama vile bugando,st joseph, khairuk! nilitegemea hata 2nd selectn ungeweka educatn! mi nakushaur nenda tu education ndo bongo edc
 
Pole bro! Hio haimaanishi kwamba ndo mwisho wa kwenda chuo! Try looking for universities abroad. Kuna vyuo vya China, India, vinaweza kukuchukua.. Au kwa vyuo vya Eastafrica nenda Kenya na Uganda.. Most Public universities in East africa like Makerere University and University of nairobi have scrapped off fees for East african students..
 
Nakumbuka nilipokuwa mtoto watu wazima wakiniuliza,"ukiwa mkubwa unataka kuwa nani?" niliwajibu "nataka kuwa daktari kwani napenda nije kuwasaidia wagonjwa"

Wazazi wangu ni maskini lakini hawakutilia shaka na uamuzi wangu.Walijitahidi kwa hali na mali ili nifikie ndoto yangu.Walilipa karo zangu za shule na hata pesa kwa ajili ya tuition.

Nilipofika A level nilijitahidi sana kwenye masomo yangu ya mchepuo wa PCB.Wazazi wangu hawakuwa nyuma kunipa msaada wa kimawazo na pesa pale ilipohitajika kunilipia tuition na kununua mavitabu makubwa kama BS,Chand,Nelkon na mavitabu mengineyo ingawa hali yao kiuchumi haikuwa nzuri.

Picha lilianza pale NECTA walipobadilisha gia kwa kupandisha grades tukiwa kwenye hatua za mwisho za kumaliza kidato cha sita.Lakini hilo halikunishtua sana nilijitahidi sana bila kukata tamaa ingawa sikusoma shule bora sana.

Matokeo yalipotoka sio haba nilipata Div 2.11 yaani DDC, nikajipa moyo kwamba nitachaguliwa medical school.Part two ya picha ilikuja pale TCU ilipovifungia baadhi ya vyuo ambavyo vinatoa course za afya na kupunguza admission capacity kwenye vyuo vilivyobaki.

Nimepigwa danadana katika selections kutoka 1st round hadi 3rd round.Roho imeniuma pale nilipoona hata hii 3rd round haina vyuo za afya.

Nimebaki kushika tama, medical school ni jambo la kusikika tu kwangu.

Ndoto yangu tayari imeyeyuka.
Bado Inawezekana nyanyuka songa mbele sote kesho hatuifahamu
 
jana niliona pale nacte mtu ana 2 kaambiwa hastaili kusoma ata diploma kapangiwa asome nursing na yeye ni kidume kwaiyo ataki..... akauliza sababu nini wakamjibu sisi atuangalii ulichopata kidato cha sita tunaaangalia kidato cha nne.... alipata B physics...B biology.......C mathe na D chemistry..... wakamwambia bola kidogo iyo D angepata kwenye physics coz hawaangalii sana.... kwakuwa amepata kwenye chemistry hastaili kusoma afya diploma...... aisee amelia yule kaka
 
Nakumbuka nilipokuwa mtoto watu wazima wakiniuliza,"ukiwa mkubwa unataka kuwa nani?" niliwajibu "nataka kuwa daktari kwani napenda nije kuwasaidia wagonjwa"

Wazazi wangu ni maskini lakini hawakutilia shaka na uamuzi wangu.Walijitahidi kwa hali na mali ili nifikie ndoto yangu.Walilipa karo zangu za shule na hata pesa kwa ajili ya tuition.

Nilipofika A level nilijitahidi sana kwenye masomo yangu ya mchepuo wa PCB.Wazazi wangu hawakuwa nyuma kunipa msaada wa kimawazo na pesa pale ilipohitajika kunilipia tuition na kununua mavitabu makubwa kama BS,Chand,Nelkon na mavitabu mengineyo ingawa hali yao kiuchumi haikuwa nzuri.

Picha lilianza pale NECTA walipobadilisha gia kwa kupandisha grades tukiwa kwenye hatua za mwisho za kumaliza kidato cha sita.Lakini hilo halikunishtua sana nilijitahidi sana bila kukata tamaa ingawa sikusoma shule bora sana.

Matokeo yalipotoka sio haba nilipata Div 2.11 yaani DDC, nikajipa moyo kwamba nitachaguliwa medical school.Part two ya picha ilikuja pale TCU ilipovifungia baadhi ya vyuo ambavyo vinatoa course za afya na kupunguza admission capacity kwenye vyuo vilivyobaki.

Nimepigwa danadana katika selections kutoka 1st round hadi 3rd round.Roho imeniuma pale nilipoona hata hii 3rd round haina vyuo za afya.

Nimebaki kushika tama, medical school ni jambo la kusikika tu kwangu.

Ndoto yangu tayari imeyeyuka.
pole sana mkuu haya ni maisha tu nimeamin alueko juu hamngoj wa chin
 
Najua ulifanya uchaguzi mbaya wa kozi na huenda vyuo vyenye ushindani mkubwa sana ndio uliviweka,next time wakati unaomba zingatia ushinda,usichgue tu Muhimbili na Udsm ,anza na vyuo kama AJUCO,St. Francis etc

You still have a chance
Mwaka huu wenye div 2 hata walioanzia hivyo vyuo unavyovisema wamekosa. COLLEGE ya Health Science ya UDOM ilikuwa inasaidia sana kuchukua wanafunzi wengi.
 
Back
Top Bottom