HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,056
- 1,212
HahahahaaKipanya darasa la saba B
weee mchokozi sana
HahahahaaKipanya darasa la saba B
Kuwa teller hakuitaji kusomea bankingUko ndo nouma....kuna walimu na sociology wakutosha hasa local banks ambazo zina undugu.
Bas kupiga kelele kwenye radio napo hakuhitaji degree au diploma ya journalism.Kuwa teller hakuitaji kusomea banking
Dida kasomea uandishi wa habari pale dsj.
Sina Mafungamano na Masudi Ally Kipanya na nikiwa Kama kijana Msomi siijui elimu yake ila toka ninakua mpaka Sasa nimekuwa nikimfuatilia KP na kumaizi kuwa ni mtu Mwenye akili,patriotic and visionary zaidi ya Sisi wengi tulio na Doctorates na Masters....Kipanya darasa la saba B
Loooh 🤣 🤣Duh afadhali maana hii taaluma iliingiliwa sana, subiri nirushe karata zangu sasa
Hao wanaongoza kwa kuokoteza watangazaji.Cc: Wasafi media, Clouds media Group, EFM na Online TV zooote.
Uko sahihi jamaa yuko vizuri kichwani ana IQ kubwa , nimemjua kitambo mtaani kijitonyama miaka ya 80s,angesoma zaidi sijui ingekuajeSina Mafungamano na Masudi Ally Kipanya na nikiwa Kama kijana Msomi siijui elimu yake ila toka ninakua mpaka Sasa nimekuwa nikimfuatilia KP na kumaizi kuwa ni mtu Mwenye akili,patriotic and visionary zaidi ya Sisi wengi tulio na Doctorates na Masters....
Nisamehe kwa kusema labda unamsigina haiba yake kwa Ad Hominem.
Sina Mafungamano na Masudi Ally Kipanya na nikiwa Kama kijana Msomi siijui elimu yake ila toka ninakua mpaka Sasa nimekuwa nikimfuatilia KP na kumaizi kuwa ni mtu Mwenye akili,patriotic and visionary zaidi ya Sisi wengi tulio na Doctorates na Masters....
Nisamehe kwa kusema labda unamsigina haiba yake kwa Ad Hominem.
Hakika...Hao wanaongoza kwa kuokoteza watangazaji.
hujui nguvu ya media ndugu yangu,kubali tu kuhesabu hela hakuitaji degree ya banking hata asiyesoma anajua kuhesabu hela zake,siku watangazaji watukane mbele ya familia yako utaelewaBas kupiga kelele kwenye radio napo hakuhitaji degree au diploma ya journalism.
😁😁😁Hapa patamu hapa. Kina Jumalokole,Baba levo inabidi watafute kazi zingine.