McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Kwa hiyo kumbe kuna watu wa "usalama" walikuwa wanaripoti contents ambazo hawazipendi?
Jamaa hajasema ni aina gani ya contents lakini huhitaji D mbili kujua anaongelea mi aina gani anazozingumzia.
Basi sawa!
=============================
Kwa mara ya kwanza, Raphael Mwango, Afisa Mhifadhi Mwandamizi, anazungumzia sababu halisi kwa nini mtandao wa X (zamani Twitter) haupatikani kwa sasa nchini Tanzania.
Kwa hiyo kumbe kuna watu wa "usalama" walikuwa wanaripoti contents ambazo hawazipendi?
Jamaa hajasema ni aina gani ya contents lakini huhitaji D mbili kujua anaongelea mi aina gani anazozingumzia.
Basi sawa!
=============================
Kwa mara ya kwanza, Raphael Mwango, Afisa Mhifadhi Mwandamizi, anazungumzia sababu halisi kwa nini mtandao wa X (zamani Twitter) haupatikani kwa sasa nchini Tanzania.