Mkoba wa Mama
Senior Member
- May 5, 2021
- 113
- 45
Mtandao wa Halotel umekuwa na tabia ya kukata salio la muda wa maongezi mara tu unapoongeza salio.
Hii imenitokea zaidi ya mara tatu sasa, na nikipiga simu huduma kwa wateja naambiwa kuna huduma nimejiunga inayokata salio hilo, wakati hakuna huduma yoyote ambayo mimi nimejiunga.
Mbaya zaidi wanaposema kuna huduma nimejiunga (kupata hadithi au taarifa za michezo kila siku) taarifa hizo nakuwa sijawahi kuzipata lakini pesa yangu wanakata.
Naomba TCRA na mamlaka nyingine zinazohusika walichunguze jambo hili. Halotel wamekuwa wahuni sana
Hii imenitokea zaidi ya mara tatu sasa, na nikipiga simu huduma kwa wateja naambiwa kuna huduma nimejiunga inayokata salio hilo, wakati hakuna huduma yoyote ambayo mimi nimejiunga.
Mbaya zaidi wanaposema kuna huduma nimejiunga (kupata hadithi au taarifa za michezo kila siku) taarifa hizo nakuwa sijawahi kuzipata lakini pesa yangu wanakata.
Naomba TCRA na mamlaka nyingine zinazohusika walichunguze jambo hili. Halotel wamekuwa wahuni sana