The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,337
- 12,907
Boss, sijawahi kuip[enda CCM tangu nazaliwa, na zaidi, sina utaratibu hata wa kujiunga na bahati nasibu...simu yangu siiachi katika hali ambayo mtu anaweza kuiunganisha, kwanza sina marafiki ambao ni CCM, na zaidi kabisa, hapa nilipo namba zetu watu watatu zimerudisha hayo majibu?????
Nenda kaombe statement yako then utajua kama kweli umechangia au la!!