Hivi watanzania wote ni ukiwa acheni kukudanganya nani kakwambia tunaichukia tbc hivi nyie chadema mmeshindwa kuanzisha TV au radio yenu ili mtuondole makelele
Acheni ulofa,ile tv ya mtu binafsi,ana maamuzi yake,hakulazimishi kuangalia acha ubwege!South kuna tv inaitwa chanel O,inapiga miziki tu,we utailazimisha isome taarifa ya habarii??Tusiwe malofa majani
Hivi watanzania wote ni ukiwa acheni kukudanganya nani kakwambia tunaichukia tbc hivi nyie chadema mmeshindwa kuanzisha TV au radio yenu ili mtuondole makelele
'Baada ya kukimbiwa na mapresenter wazuri pigo jngne kwa sahara media ikiwamo star tv itakuwa inachukiwa kama tbc inavyochukiwa na watu wengi ambao wanapenda amani ya nchi hii.
Baada ya kui delete tbc ktk king'amuzi changu jana nimei delete star tv
Baada ya kukimbiwa na mapresenter wazuri pigo jngne kwa sahara media ikiwamo star tv itakuwa inachukiwa kama tbc inavyochukiwa na watu wengi ambao wanapenda amani ya nchi hii.
Acheni ulofa,ile tv ya mtu binafsi,ana maamuzi yake,hakulazimishi kuangalia acha ubwege!South kuna tv inaitwa chanel O,inapiga miziki tu,we utailazimisha isome taarifa ya habarii??Tusiwe malofa majani
Hivi watanzania wote ni ukiwa acheni kukudanganya nani kakwambia tunaichukia tbc hivi nyie chadema mmeshindwa kuanzisha TV au radio yenu ili mtuondole makelele
Tayari Star Tv wameshaanza kuonja machungu ya ujinga wao. Biashara ya matangazo kwa sasa imedorora ile mbaya, hakuna makampuni yanayopeleka matangazo mapya tena, brand zao zikipeleka matangazo pale wateja wanazihusisha na CCM hivyo bidhaa zinakashwa.
Tutegemee huenda Star Tv ikawa ni Tv station ya kwanza kufa au kudumaa sana baada ya uchaguzi kwisha.
Baada ya kukimbiwa na mapresenter wazuri pigo jngne kwa sahara media ikiwamo star tv itakuwa inachukiwa kama tbc inavyochukiwa na watu wengi ambao wanapenda amani ya nchi hii.