REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,475
- 9,416
Bwana nape hii imekaaje kuna hizi tasisi za kukopesha mitandaoni zinaomba namba ya watu wa karibu wawili au watatu ajabu sasa mwisho wa siku wanatuma meseji kwa namba zako za sm zote ulizonazo kwenye sm yako na ambazo ukuwapa hapa mchawi nani.
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka.
Kampuni ya sm au TCRA maana tumeshahisi hakuna usalama tena kama ndio hivi nimena nikastuka.