TCRA kwanini Efm Radio isiitwe tu Yanga FM?

Ndo tatizo la simba mkiambiwa ukweli hamtaki, mnataka mdanganywe tuu ndo mnafurahi, ndomana mpk leo wanasubiri rufaa yao toka FIFA, akili hizi hizi, hela za okwi zilipotea, hizi akili mnafika mpk kusema samatta mmemuuza nyie Genk, akili hizi hizi ziliwafanya mkaamini mna magoli mawili na point tatu mezani wakati macho yenu yaliona uwanjan mkiadhibiwa mbili bila huruma, mliongoza kwa point 8 mkashindwa kukaza yanga akawaovateki na nyie baada ya kuwamind viongozi wenu mkawaunga mkono kupata point mezani daa..

Akili zote mmemkabidhi yule muhuni manara.

Shukurun refa aliwapa penalty dodoma ila mlikuwa mnachemka ile game.
Nisamehe sana babake nasreen ulistahili LIKES 13 lakini nimeweza kukupa moja tu. Kabila gani wewe unayeongea ukweli bila woga?
 
Ndo tatizo la simba mkiambiwa ukweli hamtaki, mnataka mdanganywe tuu ndo mnafurahi, ndomana mpk leo wanasubiri rufaa yao toka FIFA, akili hizi hizi, hela za okwi zilipotea, hizi akili mnafika mpk kusema samatta mmemuuza nyie Genk, akili hizi hizi ziliwafanya mkaamini mna magoli mawili na point tatu mezani wakati macho yenu yaliona uwanjan mkiadhibiwa mbili bila huruma, mliongoza kwa point 8 mkashindwa kukaza yanga akawaovateki na nyie baada ya kuwamind viongozi wenu mkawaunga mkono kupata point mezani daa..

Akili zote mmemkabidhi yule muhuni manara.

Shukurun refa aliwapa penalty dodoma ila mlikuwa mnachemka ile game.
Acha kuchachawa kijana, tulia hivyo hivyo, majibu ya FIFA yakirudi... uje tena hapa uandike huu upupu..!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ... acha hizo Mkuu mbona unaniua sasa kimtindo?
Siku hizi una mahaba sana na Yanga, kiasi hutaki wengine waitaje. Sport Pesa wameandaa michuano tuwatie adabu kidogo kabla ya kukutana kwenye Community Shield. Huu mwaka utatufukuza Tanzania tusipojifunza kunyamaza
 
kwanini na gazeti la Champions lisiitwe tuu Fifa fc aka Dhl fc
 
Bado hujatupatia mrejesho wa Barua ya FIFA kwenda Simba SC kupitia DHL, sasa umekuja tena na kichekesho kingine!! Tulia Sindano ya Efm ikuingie, 91.3 Efm Mwanza ni KwiKwi!
 
Ni redio ambayo maudhui yake hasa ya Kipindi chake cha Sports Headquarters mengi ni ya ama kuinanga vibaya Klabu ya Simba au kuilezea Simba SC kwa mtazamo hasi na wa kuidhoofisha mno na hali ambayo kila mara inajirudia rudia.

Cha kushangaza Upupu / Upuuzi huu unafanywa na Mtu yule yule Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay ambaye nimeshampigia sana Kelele kuwa ajifunze kuwa neutral hasa akiwa anatangaza lakini hajabadilika na anaendele kufanya yale yale.

Hivi punde tu huyu Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay amefungua Kipindi na kuanza kuizungumzia Simba SC huku akiwataka Watangazaji wenzie waanze kutaja majina ya ni Wachezaji gani wa Simba SC wanatakiwa Kuachwa na kuona hiyo haitoshi hadi akaanza kuwauliza Wasikilizaji nao watume meseji wataje Wachezaji wa Simba SC wasiotakiwa msimu ujao.

Hivi huyu Mtangazaji Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay kama kweli alikuwa na nia njema kwani hakusema watajwe Wachezaji wa Simba, Yanga na Azam au Timu zote zilizoshiriki VPL lakini akabaki tu kushadadia na Wachezaji wa Simba SC?

Huyu Mtangazaji Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay anatutaka nini sisi Wana Simba SC lakini? Mbona habadiliki? Hivi huo Uandishi wake wa Habari na Utangazaji aliusomea katika Chuo gani kwani kila siku anazidi tu Kukengeuka Kiueledi na Kitaaluma.

Kila akiwa tu Kipindini Taarifa za Simba SC zitazungumzwa hata kwa dakika 45 ila habari / taarifa za Yanga zikizungumzwa sana basi ni dakika 3 mpaka 5 tu na tena ni zile nzuri nzuri tu huku za Simba SC zikiwa za kukera / kuudhi. Tafadhali TCRA badilisheni jina la Efm na sasa iwe inaitwa Yangafm.

Inakera na inaudhi mno.
Nasikia wana mpango wa kumwajiri Haji Manara
 
Naona wana Simba mmejazana humu, hahahaaaa, malalamiko fc mnashida sana, yan nyie kila siku mnaonewa nyie tu, hamna jema wallah, yani kila walipo wanasimba ni malalamiko tu, leo mtawalalamikia viongoz wenu, kesho refa, keshokutwa tff, mtondogoo malinzi, dewji, simba ukawa, yanga, nk,nk sasa naona mmehamia kwenye redio, bado tv, magazet, blog, etc....mnaboa sana, watoto wa kiume achen kulialia, ila tushawazoea hakuna anaeshtuka.
Mi wabankera sana hawa jamaa kutwa wao kulalamika tuuuuu km mtoto wa kambo!
 
Sasa umelazimishwa kusikiliza hiyo redio aiseee!? Yaani unalalamika utafikiri ni chakula cha roho!
Wao kila mtangazaji anaipendelea yanga anaiponda simba kila redio inaipendelea yanga inaiponda simba nakumbuka magic ishawahi kuletwa hmu clouds pia leo efm!
 
Back
Top Bottom