GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,133
- Thread starter
- #21
Huyo aliyeanzisha mada tunamjua, ana matatizo na Yanga...lakini wewe mzee mzima kimekukuta nini uanze kujitekenya na kucheka?
Yanga bingwa mara 27
Ha ha ha ha ha ha ha ha ... acha hizo Mkuu mbona unaniua sasa kimtindo?