GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,426
- 120,781
Ni redio ambayo maudhui yake hasa ya Kipindi chake cha Sports Headquarters mengi ni ya ama kuinanga vibaya Klabu ya Simba au kuilezea Simba SC kwa mtazamo hasi na wa kuidhoofisha mno na hali ambayo kila mara inajirudia rudia.
Cha kushangaza Upupu / Upuuzi huu unafanywa na Mtu yule yule Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay ambaye nimeshampigia sana Kelele kuwa ajifunze kuwa neutral hasa akiwa anatangaza lakini hajabadilika na anaendele kufanya yale yale.
Hivi punde tu huyu Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay amefungua Kipindi na kuanza kuizungumzia Simba SC huku akiwataka Watangazaji wenzie waanze kutaja majina ya ni Wachezaji gani wa Simba SC wanatakiwa Kuachwa na kuona hiyo haitoshi hadi akaanza kuwauliza Wasikilizaji nao watume meseji wataje Wachezaji wa Simba SC wasiotakiwa msimu ujao.
Hivi huyu Mtangazaji Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay kama kweli alikuwa na nia njema kwani hakusema watajwe Wachezaji wa Simba, Yanga na Azam au Timu zote zilizoshiriki VPL lakini akabaki tu kushadadia na Wachezaji wa Simba SC?
Huyu Mtangazaji Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay anatutaka nini sisi Wana Simba SC lakini? Mbona habadiliki? Hivi huo Uandishi wake wa Habari na Utangazaji aliusomea katika Chuo gani kwani kila siku anazidi tu Kukengeuka Kiueledi na Kitaaluma.
Kila akiwa tu Kipindini Taarifa za Simba SC zitazungumzwa hata kwa dakika 45 ila habari / taarifa za Yanga zikizungumzwa sana basi ni dakika 3 mpaka 5 tu na tena ni zile nzuri nzuri tu huku za Simba SC zikiwa za kukera / kuudhi. Tafadhali TCRA badilisheni jina la Efm na sasa iwe inaitwa Yangafm.
Inakera na inaudhi mno.
Cha kushangaza Upupu / Upuuzi huu unafanywa na Mtu yule yule Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay ambaye nimeshampigia sana Kelele kuwa ajifunze kuwa neutral hasa akiwa anatangaza lakini hajabadilika na anaendele kufanya yale yale.
Hivi punde tu huyu Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay amefungua Kipindi na kuanza kuizungumzia Simba SC huku akiwataka Watangazaji wenzie waanze kutaja majina ya ni Wachezaji gani wa Simba SC wanatakiwa Kuachwa na kuona hiyo haitoshi hadi akaanza kuwauliza Wasikilizaji nao watume meseji wataje Wachezaji wa Simba SC wasiotakiwa msimu ujao.
Hivi huyu Mtangazaji Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay kama kweli alikuwa na nia njema kwani hakusema watajwe Wachezaji wa Simba, Yanga na Azam au Timu zote zilizoshiriki VPL lakini akabaki tu kushadadia na Wachezaji wa Simba SC?
Huyu Mtangazaji Private Bodyguard wa Nape Protea Oysterbay anatutaka nini sisi Wana Simba SC lakini? Mbona habadiliki? Hivi huo Uandishi wake wa Habari na Utangazaji aliusomea katika Chuo gani kwani kila siku anazidi tu Kukengeuka Kiueledi na Kitaaluma.
Kila akiwa tu Kipindini Taarifa za Simba SC zitazungumzwa hata kwa dakika 45 ila habari / taarifa za Yanga zikizungumzwa sana basi ni dakika 3 mpaka 5 tu na tena ni zile nzuri nzuri tu huku za Simba SC zikiwa za kukera / kuudhi. Tafadhali TCRA badilisheni jina la Efm na sasa iwe inaitwa Yangafm.
Inakera na inaudhi mno.