avalanche
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 227
- 233
Wadau,
Naomba kwa anayejua namna ya kusitisha hizi sms za BIKO maana zimekuwa kero nilicheza siku moja tu sijarudia tena lakini wao kila dakika wanakutumia txt. Mwenye kujua namna ya kuzisitisha msaada tafadhali.
-----
Jitu jeusi said,
Ningependa kuwakilisha kero inayo nikumba mimi pia hata watu wengi tu.
Haya makampuni ya michezo ya bahati nasibu kutuma SMS kila wakati pasipo option ya Usubscribe.
Mimi nimecheza mara moja tu, sasa kwann kila siku asubuhi, mchana, usiku mnanitumia SMS zenu..... kwani nimeji subsribe for news & updates?????.... hizi message zinaboa kweli kweli pia ni usumbufu kabisa.
Tena sikuhizi hadi wanakutaja jina kabisa.
OMBI KWA TCRA
Wekeni mikakati ambayo hawa makampuni waweke namba ya kutuma neno ONDOA ili waweze kujitoa na SMS za kinafiki
Pia kwanini wamtumia SMS pasipo makubaliano baina ya mteja?
Naimani maofisa wa TCRA mmeliona hili. Nawatakia utekelezaji mwema.
Nawasilisha tu maoni yangu.
Naomba kwa anayejua namna ya kusitisha hizi sms za BIKO maana zimekuwa kero nilicheza siku moja tu sijarudia tena lakini wao kila dakika wanakutumia txt. Mwenye kujua namna ya kuzisitisha msaada tafadhali.
-----
Jitu jeusi said,
Ningependa kuwakilisha kero inayo nikumba mimi pia hata watu wengi tu.
Haya makampuni ya michezo ya bahati nasibu kutuma SMS kila wakati pasipo option ya Usubscribe.
Mimi nimecheza mara moja tu, sasa kwann kila siku asubuhi, mchana, usiku mnanitumia SMS zenu..... kwani nimeji subsribe for news & updates?????.... hizi message zinaboa kweli kweli pia ni usumbufu kabisa.
Tena sikuhizi hadi wanakutaja jina kabisa.
OMBI KWA TCRA
Wekeni mikakati ambayo hawa makampuni waweke namba ya kutuma neno ONDOA ili waweze kujitoa na SMS za kinafiki
Pia kwanini wamtumia SMS pasipo makubaliano baina ya mteja?
Naimani maofisa wa TCRA mmeliona hili. Nawatakia utekelezaji mwema.
Nawasilisha tu maoni yangu.