Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,971
- 54,095
Kweli kila kitu na enzi zake
[emoji52]Polee madame!Asilimia kubwa za madereva wa mabasi ukikaa mbele au siti za mbele utatamani uhamishwe
Hiyo ya kuachia usukani niseme ni kawaida niliwah kupanda simba ikapita bagamoyo dereva anachat kabisa wasap wanagongeana na konda akaenda ingia kwenye shimo tulitoka ubungo saa tisa lakini nilifika home tanga saa saba za usiku
Ngorika Ya Tanga - ArushaHilo la tanga lililobakia limekongoroka vibaya yan sio ngorika za enzi zile ni heri nipande freys kama tahmeed na kapricon nimekosa
Ungemkata kofi la Uso..[emoji3][emoji3]Asilimia kubwa za madereva wa mabasi ukikaa mbele au siti za mbele utatamani uhamishwe
Hiyo ya kuachia usukani niseme ni kawaida niliwah kupanda simba ikapita bagamoyo dereva anachat kabisa wasap wanagongeana na konda akaenda ingia kwenye shimo tulitoka ubungo saa tisa lakini nilifika home tanga saa saba za usiku
[emoji52]Polee madame!
sana limechoka vibaya mnoNgorika Ya Tanga - Arusha
Liko Hoi Haa😁😀😂😂😄
Hata Mvuto Halina
Ungemkata kofi la Uso..[emoji3][emoji3]
Yatosha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna moja walikuwa wa naweka vigoda kipindi cha Christmas unakaa na tako moja hadi unasema yatosha.... Kwenye bumps ni mwendo wa kurushwa
Sio kweliNgorika Chatco Hatco Kimotco Osaka Mberesero Chakito ni mabasi ya ukoo mmoja wazee Charles Temba Mberesero
Aisee ukikaa mbele pale unaweza ukashuka kabla ya haujafika unapoendaAsilimia kubwa za madereva wa mabasi ukikaa mbele au siti za mbele utatamani uhamishwe
Hiyo ya kuachia usukani niseme ni kawaida niliwah kupanda simba ikapita bagamoyo dereva anachat kabisa wasap wanagongeana na konda akaenda ingia kwenye shimo tulitoka ubungo saa tisa lakini nilifika home tanga saa saba za usiku
Sio kweli
Hahaa ulikubali kula hasaraNilikata ticket ya kwenda Arusha, lakini nilishukia Mkata.
Mwendo wao ulikuwa hatari. Koswakoswa nyingi. In short it was a risky travel.
Nilisubiria Sumry za Mbeya nikaendelea na safari yangu
Baada ya kufa kwa mmiliki wake, watoto wanagombania mali, wameingia kwenye mgogoro mkubwaHivi hii kampuni ya shabaha express imefia wapi, sitasahau ilipiga mzinga ikamuua mshkaji wangu