limbende
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,038
- 621
Sasa hapa mkweli ni yupiHakuna dereva ngorika akiitwa kinyaunyau,ni anko manyau yuko zake mwanga kapumzika,wala hajawahi pata msala kenya,,,twende sawa
Sasa hapa mkweli ni yupiHakuna dereva ngorika akiitwa kinyaunyau,ni anko manyau yuko zake mwanga kapumzika,wala hajawahi pata msala kenya,,,twende sawa
John manyaunyau.
Weka mbali na watoto.
Sa hivi anazeeka zake
Armathaya, dothan, sidon, macedonia, nangai,Arimataya
Armathaya,dothan,sidon,macedonia,nangai,
2010 nishawahi dandia ngorika moja pale Mombo nikiwa nakuja Dar ilikuwa inaendeshwa na mtu mwenye asili ya kiarabu kama sijakosea. Siku hiyo bus zilikuwa shida hivo ikanilazimu nikae kwenye kitanda pale karibu na mrangoni na kwa dereva aisee jamaa alikuwa anaendesha gari balaa afu walikuwa wanapiga story na kondakta wake sasa unakuta inafika kipindi akawa anajisahau kabisa anaachia usukani mara apeane tano na konda wake. Nilipofika ubungo nikasema ahsante Mungu kwa kufika salama ila nilijiapiza sitakuja kupanda ngorika tena
Chakito ni ya juzi tu, kunachakito moja liliandikwa ndama jeuri hii gari weka mbali na watoto
Ngoma zishaanza jaramba,wakati wowote on the road
Ngorika Chatco Hatco Kimotco Osaka Mberesero Chakito ni mabasi ya ukoo mmoja wazee Charles Temba Mberesero
Sasa nimeelewa, kwa nini Ile gari moja iliandikwa B benedictine kwa nyumaChakito sio ukoo,na baba ni benedict mberesero,
Charles ni mtoto wa Mberesero, kuna Fransis amefariki nikiwa chuo yule mwenye zebra hotel. Ngorika ndio ya ukoo. Hayo mengine ni ya watoto mbali na kwamba wamegombana wakagawana. Kuna freys pia. Dada yao alisimamia akaanza upendeleo yule wa Tanga ndo vurugu yakapaki. Mfano kimotco ni ya marehem Fransis.Ngorika Chatco Hatco Kimotco Osaka Mberesero Chakito ni mabasi ya ukoo mmoja wazee Charles Temba Mberesero
Ngorika tu ndo yalikua ya ukoo. Hayo mengine ni watoto. Halaf kuna mjukuu pia anaitwa benedictChakito sio ukoo,na baba ni benedict mberesero,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpk leo siamini kama jimmy kaokokaa nachokaaa. Nadhan majukumu pia yamechangia baada ya kumpoteza babakindihi hico jimmy mberesero alikuwa hajaokoka, alikuwa anapigia madem, hasa wanafunzi ndani ya mabasi yao.
Umenifurahisha sanaa[emoji28][emoji28][emoji28] nimemkumbuka babby...Xmass kama hii Ngorika anaanza safari Dar kwenda Arusha usiku anarudi tupu asubuhi anaanza upya safari Dar