TBT: Unakumbuka nini enzi ya Ngorika ikitamba?

TBT: Unakumbuka nini enzi ya Ngorika ikitamba?

Wale wadau wa ruti ya Arusha Dar, unakumbuka nini enzi mabasi ya Ngorika yakitamba?

Ulishawahi kusafiri na kampuni hii? Kama kuna lolote tushirikishane, tukumbushane!

KaribuniView attachment 1099493
League yao na buffalo iligharimu maisha ya wengi,,hasa baada ya ile ajali ya Buffalo Tanga!!Kwa miaka ile ya 2000 kuvuka mataa ya Ubungo wa kwanza anabeba mzigo,,

City boys na mtindo wa kupishana kea kuhamia upande mwingine wa barabara na speed zikiwa juu iligharimu ndg zetu wengi pale singida

Hizi ndege za chini hata sasa zipo,, Sau anatembeza Sana nyanda za juu na Ally anawatembezea bakora kule Nyanza,,,
 
Kuna mnyama Tanzanite, anakuja kuwa tishio route ya kanda ya ziwa. Jana nimempanda kuja dar,alikuwa anatoana nduki na Ally's,huyo Ally's tulimpoteza mapema kabisa toka pale shinyanga kaja kutukutia ubungo.
 
Kuna mnyama Tanzanite, anakuja kuwa tishio route ya kanda ya ziwa. Jana nimempanda kuja dar,alikuwa anatoana nduki na Ally's,huyo Ally's tulimpoteza mapema kabisa toka pale shinyanga kaja kutukutia ubungo.
Ulifika saa ngapi Dsm. Huyu Tazanite ndo Dar Lux mtu mmoja au
 
Jamaa walikua noma nakumbuka Mbezi Luis wapiga debe walikua wanabet nani atakua wa kwanza kufika Kati ya Ngorika na Buffalo. Kuna siku niliingia A town saa saba mchana!
Kuna siku Bufallo aliongia Mbezi mwisho 6.30 mchana akitokea Arusha
 
Ngorika imebadilishwa jina siku hizi zinaitwa Kapricon watoto wa mzee Mberesero
wee hizi kapricon ofisi yao ilipo mkabala na ofisi za rahaleo??? kapricon ni ngorika za zamani?? ndio mana hapo ofisini pia ilikua unaweza kata tiket za ngorika loh umenifungua macho
 
wee hizi kapricon ofisi yao ilipo mkabala na ofisi za rahaleo??? kapricon ni ngorika za zamani?? ndio mana hapo ofisini pia ilikua unaweza kata tiket za ngorika loh umenifungua macho
Kikotco na ngorika zote ni za watoto wa huyo mzee Mberesero
 
Back
Top Bottom