TBS bila rushwa gari lako halitoki bandarini

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,630
3,578
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili.
 
Yani waliposema wataanza kukagua magari hapa bandarini na sio kule nilijua kutakuwa na matatizo mengi sana.

Imagine ingekuwa kule inakuwa rahisi hata supplier kufix hizo dents kwa gharama yake kabla ya shipment sasa hii ushalipia gari halafu unaambiwa gari halifai ingali limeshafika port of destination hii inaandaa mazingira makubwa sana ya rushwa na mazingira ya kuingiza magari mabovu zaidi sababu itakulazimu kuhonga pesa.

PCCB be watchful lakini Mamlaka waangalie namna ya kurudisha system ya zamani.
 
Ina maana hao takukuru bila kuandika hapa hawaoni ?

Hawana intelligence yao kujua haya mambo
Mwananchi mwenzangu tusaidiane kushangaaa mbona issue za rushwa nje nje kila mahala, lakin utakuta pccb wanasema toa taarifa, taarifa ipi itolewe wakat inaonekana mchama kweupe.

Mfano niwatupie swali: hakuna hata PCCB mmoja kote nchini ana miliki gari?

Kama yupo na anamiliki gari anaendeshea barabara gani? Maana saivi trafik ni kila baada ya kilomita 50 au pengine pungufu, na gari hilo hilo linasimamishwa kila point na hakuna cga muhimu utaambiwa zaidi ya makosa wanayoyasaka PCCB.
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili
Nimepata malalamiko kutoka kwa watu wengi mno !
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili
Kile kitengo wangewapa NIT wenye ujuzi wao kuhusu magari wawasaidie kazi
Ni ushauri tu mkipenda chukueni
 
Yani waliposema wataanza kukagua magari hapa bandarini na sio kule nilijua kutakuwa na matatizo mengi sana.

Imagine ingekuwa kule inakuwa rahisi hata supplier kufix hizo dents kwa gharama yake kabla ya shipment sasa hii ushalipia gari halafu unaambiwa gari halifai ingali limeshafika port of destination hii inaandaa mazingira makubwa sana ya rushwa na mazingira ya kuingiza magari mabovu zaidi sababu itakulazimu kuhonga pesa.

PCCB be watchful lakini Mamlaka waangalie namna ya kurudisha system ya zamani.
Hili la kupigia kelele mwenye namba ya boss wa pccb naomba tumuonyeshe yanayoendelea pale
 
Mwananchi mwenzangu tusaidiane kushangaaa mbona issue za rushwa nje nje kila mahala, lakin utakuta pccb wanasema toa taarifa, taarifa ipi itolewe wakat inaonekana mchama kweupe.


Mfano niwatupie swali: hakuna hata PCCB mmoja kote nchini ana miliki gari?

Kama yupo na anamiliki gari anaendeshea barabara gani? Maana saivi trafik ni kila baada ya kilomita 50 au pengine pungufu, na gari hilo hilo linasimamishwa kila point na hakuna cga muhimu utaambiwa zaidi ya makosa wanayoyasaka PCCB.
Wakisimamishwa huwa wakiomba leseni anatoa id yake anaachiwa anasepa
 
Nchi yetu kila sheria inapotungwa jua kuwa ulaji unafunguliwa, hili la kukagua magari nchini kwa akili ya kawaida lazima inamuumiza muagizaji, fikiria gari imeagizwa na inashida ya marekebisho makubwa badala ya mmikiki kutengeneza anatengeneza muagizaji tabu sana
 
Viongozi husika mtazame hili sula sasa imekuwa too much ukiagiza gari kwenye ukaguzi bandarini TBS lazima waandike dosari eti ukarekebishe ndio wakupe kibali lakini hata urekebishe vipi bado watakosoa

Hawa watu wameanzisha kamfumo hako lengo uwape rushwa tu na rushwa wanajia nyingi za kupokea na wanazipokea jioni kwa siku ya jana tu TBS magari zaidi ya 50 yote walisema yana dosari wakaomba rushwa yao usiyopungua 300k kwa kila gari.

PCCB naomba mlitazame hili

E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Mimi ikatokea nimenunua gari wakaleta hizo mambo wataenda kulitoa mahakamani aisee na fidia watalipa

Ushamba sana
 
Back
Top Bottom