Hata ww hivyo hivyoUmeandika nini?au imekurupushwa
Hata ww hivyo hivyoUmeandika nini?au imekurupushwa
Ww ndio mchovu kweli. Hivi kama si upinzani kuwapigia kelele huwa ccm wanasikia malalamiko ya wananchi? Nawapongeza sn upinzani kwa kutetea haki za wananchi.Chadema sasa ishu ya matangazo live imeisha shalandia nini sasa sijui ? Au bado mnazungusha mikono
Wanaonyesha live huku wamatetemeka ndio maana wakakata.hawajiaminiWakuu leo nimeona kama bunge likionyeshwa live sasa sijaelewa kama ndo limerudi moja kwa moja au mara moja kisha watakata matangazo?
Hata hivyo hiyo hoja imeshawatoa sanaaaWasirushe kabisa maana chaggadema aka kncu wanatafuta hoja ya nitoke vipi....
Kwani hujui ccm ndio wanaopinga bunge kurushwa live. Hiyo akili ulionayo inakutoa upofu bora umwage huo ubongo ulionayo weka matope.Kumbe tatizo sio TBC wala Bunge live bali tatizo ni CCM