TBC watangaza rasmi kuonesha Bunge live

TBC watangaza rasmi kuonesha Bunge live

watz bwana or walipa kodi oh tuone sasa imewekwa mlipie ili kodi ipatikane vizuri tena oh mbona imewekwa kwenyebyakulipia unasema unalipa kodi alafu tena vya bure
 
hakuna sheria inayosema uone bunge kuna sheria ya uhuru wa kupata habari

Kama Mtanzania huru nina uhuru wa kujua kinachoendelea Bungeni.Maana Bunge ni mali ya Watanzania na si Serikali upo kaka
 
Ukimnyooshea mwenzio kidole kimoja.. Vingine vinakurudia wewe... Nape alizunguka nchi nzima kipindi kile akituaminisha mawaziri mizigo.. Ninachoshangaa mbona naye kawa mzigo kuliko wale?
 
Wakuu leo nimeona kama bunge likionyeshwa live sasa sijaelewa kama ndo limerudi moja kwa moja au mara moja kisha watakata matangazo?
 
Wakuu leo nimeona kama bunge likionyeshwa live sasa sijaelewa kama ndo limerudi moja kwa moja au mara moja kisha watakata matangazo?
TV gani na muda gani? ? TBC2 ni ile wame record ndio wanarusha baada lisaa 1
 
Wakuu leo nimeona kama bunge likionyeshwa live sasa sijaelewa kama ndo limerudi moja kwa moja au mara moja kisha watakata matangazo?

Mkuu, kwa nini unashangaa? Wapo watu ambao kwa sasa wao ndio wanaamua uone nini kwa niaba yako. Kama watataka uone live (vitu ambavyo wanataka wao) watakuonyesha, na wasipotaka uone jambo fulani hawaonyeshi. Nasikia kuna maana nyingine ya uhuru wa habari: "Si lazima kuona au kusema kila kitu".
 
Wananchi sasa wamepuuza hata kuangalia hivyo vipande wanavyotaka tuone,taarifa zote muhimu tunazipata kwa kutumiana!Ndio maana hoja nzito zinazotolewa tunazipata!Wabunge wa ccm waelewe kuwa hili ni pigo kwao,michango yao hata kama wakijikakamua haiwafikii wananchi!
 
Muda wa kazi huo... Wengine Tupo kazini , warushe usiku tu hata marudio poa tu
 
Wakuu leo nimeona kama bunge likionyeshwa live sasa sijaelewa kama ndo limerudi moja kwa moja au mara moja kisha watakata matangazo?
Saa ngapi umelioba? Kupitia channel gani? Nijuacho, tangu kikao cha baraza la mawaziri kikae Dodoma, bunge liko live kupitia tbc1 maswali na majibu na kupitia tbc2 hoja za serikali, mijadala ya budget.

Wasio tumia startimes, tbc2 ni ngumu kupata matangazo
 
Leo nilikuwa nyumbani kwa kiongozi mmoja wa serikali nikakuta wanaangalia clouds tv nikaomba rafiki yangu abadili tucheki TBC akasema huwa wanaangalia TBC kukiwa na press conference ya Rais.
 
Mbona liko live toka mwanzo ila linarushwa na TBC2 kupitia studio ya bunge.
Ugomvi ni UKAWA wanataka lirushwe na TBC1 na studio za bunge ziondolewe!!!
 
Hilo bunge warushe live wasirushe live, waliowengi tunajua watetezi wetu pale mjengoni ni wapinzani2.
achana na ule msitu wa kijani ambao spika akisema2 wanafiki sememi ndiyo! utasikia ndiyoooooo!
"back Kafulila"
 
Back
Top Bottom