Sasa hiyo clouds TV na TBC wanatofauti gani wote ccm.hoja yako ziro tuLeo nilikuwa nyumbani kwa kiongozi mmoja wa serikali nikakuta wanaangalia clouds tv nikaomba rafiki yangu abadili tucheki TBC akasema huwa wanaangalia TBC kukiwa na press conference ya Rais.
Mbona liko live toka mwanzo ila linarushwa na TBC2 kupitia studio ya bunge.
Ugomvi ni UKAWA wanataka lirushwe na TBC1 na studio za bunge ziondolewe!!!
Warushe wasirushe Kipimo chao Waheshimiwa Bungeni siyo kuwaona Ktk Runinga.TUTAWAPIMA KWA MAENDELEO YAPI NA WAMELIFANYIA NINI JIMBO.Na siyo kuona SURA zao Mjengoni.
Warushe wasirushe Kipimo chao Waheshimiwa Bungeni siyo kuwaona Ktk Runinga.TUTAWAPIMA KWA MAENDELEO YAPI NA WAMELIFANYIA NINI JIMBO.Na siyo kuona SURA zao Mjengoni.
Kuwajua mafisadi wa escrowTokea ilipoanza kuonyeshwa live ilikusaidia nini ki mental na kiuchumi kama mtanzazania mwangaikaji?
Sasa hiyo clouds TV na TBC wanatofauti gani wote ccm.hoja yako ziro tu
Ilinisaidia kujua nani ni mwizi na nani ni mtetezi wa wezi na ni nani anafaa kupokea ufunguo wa magogoni baada ya vasco dagama kupumzika. Hata ubora na udhaifu wa Eddo na Jpm niliujua kupitia bunge live na hiyo ilinisaidia kufanya maamuzi sahihi ktk sanduku la kura.Tokea ilipoanza kuonyeshwa live ilikusaidia nini ki mental na kiuchumi kama mtanzazania mwangaikaji?
ni ajabu sana mambo tunayojadili kama wananchi hayana impact yoyote kwa manifaa ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
Na iweje uweze kununu TV, king'amuzi na uwezo wa kulipa umeme alafu ushindwe kulipia king'amuzi. Hata hivyo asiweza anakaushatu, Kama Ni hali mbona kila mwananchi hamiliki TV.Umesahau ya kua tuko katika ulimwengu wa digital hata hiyo TBC1lazima ulipie.
Ni muhimu ila mkuu ukiachana hayo mambo ya CCM yenu, asilimia ngapi ya watanzania wanaopata habari kupitia TV?Hee kupata taarifa sio jambo muhimu amakweli ukiwa ccm utakuwa kipofu wa akili