Umeandika nini?au imekurupushwani ajabu sana mambo tunayojadili kama wananchi hayana impact yoyote kwa manifaa ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
Ni asubuhi mwisho saa nneMbona mimi natazama Kila siku azam na startv
manifaa - MANUFAAni ajabu sana mambo tunayojadili kama wananchi hayana impact yoyote kwa manifaa ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
Kwani Hujui kwamba TBC1 ni TV ya Uma? Na Umaunalipa Kodi Kuiendesha TBC1?Umesahau ya kua tuko katika ulimwengu wa digital hata hiyo TBC1lazima ulipie.
hujaelewa nini hapo?Umeandika nini?au imekurupushwa
haaaaaaa kumbe kweli? sasa si waruhusu na tv zingine zichukue kwao, au wanataka biashara kuwa kila mtu awe na kinga,amzi cha startimes?bunge live tbc2 lilianza toka j3 hii nimeangalia wizara zote hadi saa 3 usiku.shida hii channel ipo startimes pekee na ni ya kulipia km elfu 10 kwa mwezi.je ni haki
Sio Live wewe,wanaonyesha Live mpaka saa 4(maswali n majibu) then from there wanarecord wanaedit mambo yao wanaonesha saa sita mpaka saa nanenane huko.wanaendelea kurecord hivyohivyo wanaonyesha saa 11 na 4 usiku ..kwahiyo me sioni mantiki yao ya kutoachia tu Live.Hawa wana ajenda nyingine lakini sio hizo walizotuambia...Ila tangazo la TBC linasema wazi ni live!
Sio Live wewe,wanaonyesha Live mpaka saa 4(maswali n majibu) then from there wanarecord wanaedit mambo yao wanaonesha saa sita mpaka saa nanenane huko.wanaendelea kurecord hivyohivyo wanaonyesha saa 11 na 4 usiku ..kwahiyo me sioni mantiki yao ya kutoachia tu Live.Hawa wana ajenda zingine lakini sio hizo walizotuambia...Ila tangazo la TBC linasema wazi ni live!