Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,455
Ili kuchuja utumbo wote wanaoutapika hapo mjengoni siyo.Nape alisema litaonyeshwa nyuma ya 1hr ya ile live
Ili kuchuja utumbo wote wanaoutapika hapo mjengoni siyo.Nape alisema litaonyeshwa nyuma ya 1hr ya ile live
Hata ukiangalia hayo matangazo hamna neno live na ni kweli siyo live for 1hr backIla tangazo la TBC linasema wazi ni live!
Bado sijaona kama wameedit chochote, kinachotokea na kinachoonyeshwa ni same sameIli kuchuja utumbo wote wanaoutapika hapo mjengoni siyo.
Yana impact kubwa sana na yanagusa maendeleo hata yako mwenyewe!, ila inahitaji kufikiri kwa makini ndio ufikie conclusion hii.ni ajabu sana mambo tunayojadili kama wananchi hayana impact yoyote kwa manifaa ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
Kwa hiyo mantiki ya kusema angalia bunge live kupitia TBC2 mida hiyo wsliyoiweka ni nini? Wanawahadaa watanzsnia? Yaani utangaze bunge litakuwa live halafu uweke recorded? Si ni dharau kwa watz?Hata ukiangalia hayo matangazo hamna neno live na ni kweli siyo live for 1hr back
Hapo sawa Hawa jamaa wajanja sana,nakubaliana na wewe.Watu wengi vijijini hata mijini hawana access na Tbc2 maana kwenye ving'amuzi vingi (hapa niko tayari kukosolewa)hii Chanel iko kwenye parkage za kulipia wakati TBC iko free everywhere.Jiulize kwanini hawaonyeshi kupitia TBC 1?
Unataka kuangalia bunge au hutaki kuangalia TBC?Waruhusu tv binafsi maana wengine huwa hatuangaliagi TBC
Yanayojadiliwa bungeni yana impact ya dunia nzima?ni ajabu sana mambo tunayojadili kama wananchi hayana impact yoyote kwa manifaa ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
Pamoja na kubana mimi nimeipenda hii maana sasa kina Kabwe na Wengine watafute agenda endelevu badala ya kila kukicha kuleta ya bunge Live. Serikali za kila nchi ambazo ni makini hufanya U-Turn pale wanapokosea. Naomba mtu anitajie hata nchi moja ambayo haijafanya U Turn katika kubadilisha walichokileta bungeni.Shida unapokuwa Wabunge wanaokwenda kujipendekeza kwa serkali badala ya kuisimamia.Ndugai na wenzake historia itawahukumu kwa kutudisha karne ya kumi na nane.Wameligeuza bunge kuwa taasisi butu kabisa.Na wabunge wa CCM wametumbukia kwenye mtego.Kwa mfano hawa wa viti maalum toka CCM wanasikitisha kabisa kuna haja ya kubadilisha mfumo wa jinsi wanavyopatikana,Kwa kweli wanatia aibu kabisa mhimili wa bunge.
Si mlikua masema hata kulipia mtalipia humu?? watu kama hamna la kusema si make kimya? Mimi nilishasema huko nyuma mfano wa BBC kuwa hawaonyeshi bure ila wanaonyesha katika channel ambayo ipo katika cable na siyo free to air mkanitukana, mkasema kuwa watu watalipia leo mnaanza kulalama.TBC 2 ni kituo cha kulipia !
bado tatizo liko pale pale !
Hapo mwenye uwezo kama Mimi tutafaidi
Je masikini wa local wataona je ??
Hapa mbwembwebtu kazi 2020
ni ajabu sana mambo tunayojadili kama wananchi hayana impact yoyote kwa manifaa ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
kuna wabunge wamegeuza bunge ukumbi wa kupiga show,inashusha hadhi ya muhimili kwa kweli!Wanaficha nini ? Na wanaogopa nini? Watanzania wan vitu vyao wanavyoangalia kama serikali hii ita navyo hakuna haja kuficha bunge! Serikali iliyopita ndio iliharibu kila kitu kwenye rushwa na ufisadi! Sasa wanaogopa nini?
Unaiumbua serikali kwa kupeleka umeme vijijini kwamba hakuna umuhimu wowote wa kuwa na umemeAsilimia 80% ya wapiga kura wapo vijijini.Na watu wa vijijini hawana uwezo wa kuona TBC2.
Bado mfumo wa habari za bunge umeminywa.
unaangalia maswali na majibu saa 3 hadi saa 4, baada ya hapo unaliona tena?Mbona mimi natazama Kila siku azam na startv
Has yule dada wa musoma ndo hovyo kabisa sijui aliingiaje bungenikuna wabunge wamegeuza bunge ukumbi wa kupiga show,inashusha hadhi ya muhimili kwa kweli!