Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Wadau, nimetazama taarifa ya habari saa 2 usiku tbc, wameonesha dr slaa alivyoiteka mwanza Jana. Ule Imati unaashiria jambo, hasa ukizingatia punde tu walikuwa wamepigwa mabomu ya machozi. Unaashiria kwa Shari kabisa kwamba wananchi wako tayari, kwa amani.