Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Ule umati wa Mwanza unafanya hata uchakachuaji wa matokeo kuwa ni shubiri kwa sababu mchakachuaji huyo ataielezea nini jamii ya watanzania kuwa Chadema na Dr. Slaa hawajashinda?
Huyo atakayeongoza kwa kura za wizi uhalali wake utatoka wapi?
Kadamnasi hizi na chereko chereko ni dalili za ushindi mnomno J2 ijayo.............
Huyo atakayeongoza kwa kura za wizi uhalali wake utatoka wapi?
Kadamnasi hizi na chereko chereko ni dalili za ushindi mnomno J2 ijayo.............