Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
- Thread starter
- #21
Hao wachumia tumbo tuMwalimu Kashasha hongera sana. Uchambuzi wako ni wa kitaalam tofauti na hawa makanjanja kina Dauda na Kumwembe.
Hao wachumia tumbo tuMwalimu Kashasha hongera sana. Uchambuzi wako ni wa kitaalam tofauti na hawa makanjanja kina Dauda na Kumwembe.
Kashasha bhana...hana tofauti na tatu mzuka 'kwako Jese John'Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...hakika kwa matangazo ya mpira wa miguu hakuna kama tbc, toka kipindi cha kina juma nkamia,swedi mwinyi,ahmed jongo,eziekel malongo mpaka sasa kipindi cha kina jesse john,enock bwigane na chacha maginga hakika tbc wameonyesha ukomavu wa hali ya juu...
Bila kusahau mbwembwe za mwl kashasha unaweza zima tv ukahamia kwenye matangazo ya radio
Kwako jesse
Kweli kabisa mkuuTBC kwa Hakika kwa matangazo ya mpira wa miguu wapi juu.
Kweli jamaa ni underrated sana ukicompare na vitu anavyojua..huyu mwalimu kashasha ni underrated sana katika uchambuzi..sijui kwa kua hana mbwembwe za kufungua blogs
Ubongo kid..... dah wacha nipige mishe fasta nkaungane na familia yanguKipindi kingine kizuri TBC NI AKILI CHA WATOTO WADOGO !!! vingine bado sana inabidi wakaze misuri
Kwako JeseMwalimu kashasha anachambua mpira Kisayansi, naona atakua alisoma PCM.....
"Unaozungumziaje hii mwalimu Kashasha"
Mkuu agiza soda nakuja kulipa... Hvyo ni vipindi vzr na bora zaidi....Kipindi kingine kizuri TBC NI AKILI CHA WATOTO WADOGO !!! vingine bado sana inabidi wakaze misuri
Jesse! Pasi aliyoitoa Tshitshimbi tunaiita "Straight wave pass" pasi ya moja kwa moja yenye mawimbi.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...hakika kwa matangazo ya mpira wa miguu hakuna kama tbc, toka kipindi cha kina juma nkamia,swedi mwinyi,ahmed jongo,eziekel malongo mpaka sasa kipindi cha kina jesse john,enock bwigane na chacha maginga hakika tbc wameonyesha ukomavu wa hali ya juu...
Bila kusahau mbwembwe za mwl kashasha unaweza zima tv ukahamia kwenye matangazo ya radio
Kwako jesse
Kwa hili nakubaliana nawe.Lakini hata yule jamaa wa WAYA, WAYA,WAYA...kutoka pale big brand TV station(currently) anajitahidi kwa mbwembwe.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...hakika kwa matangazo ya mpira wa miguu hakuna kama tbc, toka kipindi cha kina juma nkamia,swedi mwinyi,ahmed jongo,eziekel malongo mpaka sasa kipindi cha kina jesse john,enock bwigane na chacha maginga hakika tbc wameonyesha ukomavu wa hali ya juu...
Bila kusahau mbwembwe za mwl kashasha unaweza zima tv ukahamia kwenye matangazo ya radio
Kwako jesse
Jamaa anajua kuutendea haki mpira.Mwalimu Kashasha hongera sana. Uchambuzi wako ni wa kitaalam tofauti na hawa makanjanja kina Dauda na Kumwembe.